The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
GT
Tunaishi hapa duniani ila.kuna baadhi ya maeneo ni hapa hapa duniani ila watu huwa katika ulimwengu tofauti kabisa hasa wagonjwa hospital na majumbani.
Ukifika hospital kuona wenzako wanavyotaabika na magonjwa utapata somo, ukiwajali na kuwasidia utapata utulivu wa moyo kwa kiasi fulani utaona pia namna wauguzi wetu walivyo na kazi ngumu.
Tembeleeni wagonjwa ni binadamu walikuwa na afya njema kama wewe japo ushiriki nao ulimwengu wao wa kipekee ambao na wewe siku moja lazima utapitia mazingira hayo japo yanatisha..
Asante.
Tunaishi hapa duniani ila.kuna baadhi ya maeneo ni hapa hapa duniani ila watu huwa katika ulimwengu tofauti kabisa hasa wagonjwa hospital na majumbani.
Ukifika hospital kuona wenzako wanavyotaabika na magonjwa utapata somo, ukiwajali na kuwasidia utapata utulivu wa moyo kwa kiasi fulani utaona pia namna wauguzi wetu walivyo na kazi ngumu.
Tembeleeni wagonjwa ni binadamu walikuwa na afya njema kama wewe japo ushiriki nao ulimwengu wao wa kipekee ambao na wewe siku moja lazima utapitia mazingira hayo japo yanatisha..
Asante.