bro alex
JF-Expert Member
- Jul 15, 2025
- 1,898
- 2,256
Nimefatilia michuano ya cecafa inayo ENDELEA karatu nimefurahi SANA. Lakini nikajiuliza huu uwanja MBONA UKO VIZURI nani mmiliki wake ILI kama atapata NAFASI ya kunisikiliza tunaweza peana USHAURI.
Tetesi Zina dai ni kijana TU SI mzee Wala bilionea mkubwa nchini nikashtuka. Wengine wakadai ni kampuni ya black rhino holding ILA mmiliki wake ni kijana TU alichungulia fursa akawekeza. Samahani kama tapotosha nirekebishwe inasemekana anaitwa Nickson Maliki.
Tuachane na hayo hayatuusu. Lengo LANGU NILITAKA kutoa USHAURI JUU ya fursa ya michezo hususabi mpira WA miguu kwa SASA. Dunia inakumbwa na machafuko pia nchi yetu inazidi kuandaa michuano MBALIMBALI nchini, nikajiuliza JE matajiri wetu WAMESHA ona fursa HII.
SABABU ya TIMU ya Kenya kususa cecafa inasemekana miundo mbinu ya uwanja waliopewa kuifanyia mazoezi HAkUA na ubora wakapata shaka KUHUSU afya ya wachezaji WAO. Pia hoteli waliopewa haikuwaridhisha, wakajitoa kushiriki michuano hiyo. KUMBUKA afcon itafanyika hapohapo ARUSHA JE tumejifunza JAMBO?.
Niwakati SASA wamiliki WA hoteli MBALIMBALI nchini hususani mikoa yenye miundo mbinu ya kimchezo kutenga eneo la uwanja WA mpira WA miguu. Namanisha ujenzi WA hoteli uendane na uwanja WA mpira WA miguu kwa ajili ya kuzivuta TIMU MBALIMBALI nchini KWENYE pre season au michuano MBALIMBALI kama kijana kama HUYU kaweza na amini wengine pia wataweza.
TIMU zitashawishika kufikia KWENYE hoteli yAKO kutokana na kujitosheleza kwa mahitaji Yao. TIMU ka al hilal ilitaka kushiriki ligi ya tanzania tukaikataza, nilishangazwa sanaa alafu tumekomaa ETI kupromoti utalii SASA watalii wanakuja mnawakata TENA unazani al hilal angetuachia shingapi kwa msimu MZIMA?.
Ni mawazo YANGU TU WAKUU na amini Kuna WATU wana mawazo Bora watakuja kuongezea na WAO.
Kwishaaaaa
Tetesi Zina dai ni kijana TU SI mzee Wala bilionea mkubwa nchini nikashtuka. Wengine wakadai ni kampuni ya black rhino holding ILA mmiliki wake ni kijana TU alichungulia fursa akawekeza. Samahani kama tapotosha nirekebishwe inasemekana anaitwa Nickson Maliki.
Tuachane na hayo hayatuusu. Lengo LANGU NILITAKA kutoa USHAURI JUU ya fursa ya michezo hususabi mpira WA miguu kwa SASA. Dunia inakumbwa na machafuko pia nchi yetu inazidi kuandaa michuano MBALIMBALI nchini, nikajiuliza JE matajiri wetu WAMESHA ona fursa HII.
SABABU ya TIMU ya Kenya kususa cecafa inasemekana miundo mbinu ya uwanja waliopewa kuifanyia mazoezi HAkUA na ubora wakapata shaka KUHUSU afya ya wachezaji WAO. Pia hoteli waliopewa haikuwaridhisha, wakajitoa kushiriki michuano hiyo. KUMBUKA afcon itafanyika hapohapo ARUSHA JE tumejifunza JAMBO?.
Niwakati SASA wamiliki WA hoteli MBALIMBALI nchini hususani mikoa yenye miundo mbinu ya kimchezo kutenga eneo la uwanja WA mpira WA miguu. Namanisha ujenzi WA hoteli uendane na uwanja WA mpira WA miguu kwa ajili ya kuzivuta TIMU MBALIMBALI nchini KWENYE pre season au michuano MBALIMBALI kama kijana kama HUYU kaweza na amini wengine pia wataweza.
TIMU zitashawishika kufikia KWENYE hoteli yAKO kutokana na kujitosheleza kwa mahitaji Yao. TIMU ka al hilal ilitaka kushiriki ligi ya tanzania tukaikataza, nilishangazwa sanaa alafu tumekomaa ETI kupromoti utalii SASA watalii wanakuja mnawakata TENA unazani al hilal angetuachia shingapi kwa msimu MZIMA?.
Ni mawazo YANGU TU WAKUU na amini Kuna WATU wana mawazo Bora watakuja kuongezea na WAO.
Kwishaaaaa