Aliwaomba sana msaada kipindi alipokuwa anaumwa,hakuna aliyejitokeza lakini siku ya msiba watu 'show OFF' nyiiiiingiiii
Mie ata siamini kama ni geneza kweli...
Nani ana picha nyingine tofauti na hiyo? Anitumie
hiyo photoshop angalia vizuri
Inawezekana maan hata watu hawaonekani vizuri na ingekuwa kweli hizi pic zingezagaa sana