Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Kupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.
Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!
Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!
Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli