Jenerali Ulimwengu: UDSM imekuwa "Extended High School"

Kiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂

Naunga mkono hoja ya ulimwengu.

Hili jambo mbona lipo kitambo sana, nenda kaone wafanyakazi wanaoelekeza taratibu mbalimbali za kujiunga na chuo, badala ya Afisa kukuelekeza mwombaji anakupa namba ya mwanafunzi mwombaji mwenzako akuelekeze
 
Kama Prof. Kabudi alisema alikuwa jalalani kabla ya kupata teuzi na sote tunajua alikuwa UDSM ni wazi kwamba hata maprofesa wetu wa hapo wamefifisha ubora wa elimu na msisahau kwamba CCM imeweka mapandikizi wake hapo kudhibiti critical thoughts....
Kiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂

Naunga mkono hoja ya ulimwengu.

 
Sio UDSM tu hata vyuo vya kati na chini vimekuwa vya hovyo. Sekondari ndio usiseme, msingi ishapotea siku nyingi haijulikani kama ni elimu ya maana ipo tu kama kituo cha malezi ya watoto wadogo na walimu ni mayaya wa kulea watoto hao wakati wazazi wao wapo kazini. Miaka kumi ijayo UDSM na wenzake watakuwa kama sekondari iliyochangamka na sekondori itakuwa kama msingi iliyochangamka. Mambo yanabadilika automatically ukizubaa unapitwa na wakati na kuonekana ni old school
 
Back
Top Bottom