Jenerali Ulimwengu: UDSM imekuwa "Extended High School"

Kwani UDSM waliwahi gundua nini kikubwa hio miaka ya 80.
Teknolojia gani imebuniwa na UDSM imemsaidia kila mtanzania kujikomboa.
UDSM NA vyuo vingine vya zamani havikuweza kubuni jambo lolote la kuikomboa TZ ndio maana TZ ni masikini.
Wakibisha walete ushahidi.
Uchumi wa TZ umedidimizwa na wasomi wa kutoka UDSM NK.
Navyojua kwa dunia ya sasa mtu anaweza kujielimisha na kuelimika zaidi ya mtu wa zamani.Hii ni kuyokana na mifumo ya kirlimu kuwa wazi zaidi bila kutegemea chanzo kimoja cha maarifa.
Hawa wazee utawasikia wakisema "darasa ka nne la zamani ni zaidi ya form four wa sasa".
Hii inaashitia kuwa wasomi, wasomi huongea kwa tafiti sio opinion.
GENERALI AWEKE UTAFITI UNAOTHIBITISHA.
Vinginevyo anachangamsha genge tu.
Mtu anapozeeka huzidi kufilisika akili.
 
Kiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂

Naunga mkono hoja ya ulimwengu.

Huyo mkuu wa chuo wa sasa Prof. Anangisye hawezi hata kutatua madai ya taasisi zilizochini yake atawezaje kuwa na fikra za kunoa fikra za vijana wanaokuwa sasa! Kwamfano taasisi moja iliyochini yake wafanyakazi wake wanadai madeni ya zaidi ya miaka 10 ameshindwa kuyatatua! Hafai!
 
Walimu ni walimu tu! Kujipendekeza kwa wenyemamlaka ili wapate teuzi! Can you imagine Dr/Professor mzima anajipendekeza kwa viongozi wa serikali ili ateuliwe kuwa waziri!
 
Yaani huko Sekondari na vyuo vikuu tofauti ni majengo na umri wa wanafunzi
 
Kiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂

Naunga mkono hoja ya ulimwengu.


Kipindi cha awamu ya 2, taaluma na utaalam vilitupwa mbali. Wenye madili na wajanja wajanja mjini, wakawa ndiyo wameshika kwenye mpini. Vivyo hivyo awamu ya 4. Na hilo tunalishuhudia awamu ya 6. Hayo ni matokeo ya kutothamini elimu. Wanataaluma hawana hadhi kwa jamii. Wenye thamani ni Wafanyabiashara na wanasiasa. Wanazuoni hawana chao. Wamekata tamaa na wanafikiria watatokaje kupitia teuzi au siasa. Wapo hapo walipo ki bora liende tu. Inasikitisha sana.
 
Walimu ni walimu tu! Kujipendekeza kwa wenyemamlaka ili wapate teuzi! Can you imagine Dr/Professor mzima anajipendekeza kwa viongozi wa serikali ili ateuliwe kuwa waziri!
unaambiwa once unakuwa mwalimu hata wa chuo kikuu akili zinakuwa mgando hazipambanui mambo tena na hazinyumbuliki kuchakata taarifa
 
Back
Top Bottom