playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
Ana maarifa sahihi na sio mvivu wa kufikiri.Amefanya nn kulinganisha na watu wwngi wa kariba yake? Anaumizwa sana na utawala wa nchi hii, na yote ni wivu, akubali amepitwa na wakati
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, wenye dhambi ndiyo anawahitaji zaidi kwa hiyo wakimuomba kwa moyo wa dhati kabisa anawajibu maombi yao, sawa tu na wale ambao ni wake siku zote. Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi, yaani mimi na weweKuomba ukiwa na haki( utakatifu? Kwakuwa mungu hawasikii wenye dhambi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo sasa tumwachie Mungu mwenyewe ndiyo anayejua yupi mwenye imani halisi na yupi mwenye imani hewa. Wewe ukijiingiza katika hilo utakosea, rohoni kwa mtu wakati mwingine ni kama mbinguni, mwanadamu huwezi kupaona kwa kutumia macho ya nyama!Na watu wenye imani hewa ni wa kupuuzwa tu
Tunaona matendo mkuu, na tunaishi nao mtaani kiufupi wengi ni imani hewa tu.Hilo sasa tumwachie Mungu mwenyewe ndiyo anayejua yupi mwenye imani halisi na yupi mwenye imani hewa. Wewe ukijiingiza katika hilo utakosea, rohoni kwa mtu wakati mwingine ni kama mbinguni, mwanadamu huwezi kupaona kwa kutumia macho ya nyama!
Wonders shall never end
Mungu hajawahi kuandika kitabu wala kumtuma mtu aandike.Hapana, mimi siyo msemaji wa Mungu isipokuwa Mungu anavyo vitabu vyake vinavyoitwa Maandiko Matakatifu. Nilishawahi kusoma kwenye maandiko hayo na kukuta anasema hivyo! Labda kama wewe una ushahidi wa kutumia Maandiko Matakatifu mengine yanayokinzana na nilichosema, basi ni nafasi yako kutuletea ushahidi. Wewe ni muumini wa dini?
Uko sahihi kabisa, ni kweli hajawahi kuandika kitabu chochote ila Maandiko Matakatifu ya Mungu yapoMungu hajawahi kuandika kitabu wala kumtuma mtu aandike.
Kweli kabisa na yameandikwa na watuUko sahihi kabisa, ni kweli hajawahi kuandika kitabu chochote ila Maandiko Matakatifu ya Mungu yapo
Hizi siasa za kina mchungaji msigwa kumpakazia kinana baada ya miaka saba anaomba samahani?Anayefikiri JPM ni mtu wa Mungu ana upungufu kichwani, na maasi yote ya kisiasa nchini?
Kama Mungu amebahatika kukufunulia hivyo, ni wazi kuwa anakupenda mno kiasi kwamba anakuonyesha namna ambavyo wewe unatakiwa uenende. Kwa hiyo anataka wewe ufanye opposite ya yale wanayofanya wao, ukizingatia kuwa wewe utakuja kuwa na adhabu kubwa zaidi kuliko wao, kama na wewe utafuata mwenendo wao wakati Mungu amekufunulia kuwa hutakiwi kuenenda kama wao!Tunaona matendo mkuu, na tunaishi nao mtaani kiufupi wengi ni imani hewa tu.
Sawa kabisa, ila siyo yao walioyaandika, ni ya MunguKweli kabisa na yameandikwa na watu
Mkuu nisije kukukwaza katika imani, mimi siamini chochote katika hayo na siko miongoni mwa wanaomsumbua Mungu kwa maombi yasiyoisha. Nadhani ni vizuri kuamini unachoamini kwani imani huleta faraja na amani ya moyo.Kama Mungu amebahatika kukufunulia hivyo, ni wazi kuwa anakupenda mno kiasi kwamba anakuonyesha namna ambavyo wewe unatakiwa uenende. Kwa hiyo anataka wewe ufanye opposite ya yale wanayofanya wao, ukizingatia kuwa wewe utakuja kuwa na adhabu kubwa zaidi kuliko wao, kama na wewe utafuata mwenendo wao wakati Mungu amekufunulia kuwa hutakiwi kuenenda kama wao!
Bab kubwa!Kuna wazee wengi enzi zile walionekana wana akili saana.
Awamu ya tano ndo tumejua kumbe walikuwa matapeli tu.
Hivi kwani data zipi sio za kutiliwa shaka, Za Museveni? za Kenyata? au za Kagame ndo ziko sawa?
Mbona hata Trump mwenyewe haziamini data za Marekani wala za China?
In short data zote za corona duniani kwa wenye akili tunajua ni za kutiliwa shaka saana! Na mtu wa kwanza kuzitilia shaka alikuwa JPM (Historia imesharecord) angekuwa anaziamini angepeleka sample za Mbuzi na Papai?
Binafsi naona ni upuuzi hata kuendelea kutangaza data kwa sababu kwa vigezo vyote vya kisayansi ni za uongo.
Iwapo 90% za madereva ambao hawaumwi chochote wametest positive huko mpakani kuna mwenye akili timamu bado anaziamini data wanazohangaika kuzitangaza kwenye ma TV?
Wanaweza hata kuwa pengine wanaomba sana, pengine kutuzidi hata sisi. Tofauti iliyopo kati yao na sisi ni kwamba sisi mkuu wetu wa Nchi alitamka kwa maneno kuwa kuhusiana na janga hili kwa sababu halina dawa,yeye Nchi anamkabidhi Mungu wakati huo akiwaasa wa-Tanzania kumuomba Mungu kila mmoja kwa imani yake, pamoja na kuchukua tahadhari zinazotolewa na wataaluma wa afya, wa ndani na nje ya Nchi. Kwa hiyo tofauti iliyopo kati yao na sisi ni hiyo tu.kwani mkuu umeambiwa wakenya na waganda hawaombi
Endelea kunawa na kujisanitize mkuuWanaweza hata kuwa pengine wanaomba sana, pengine kutuzidi hata sisi. Tofauti iliyopo kati yao na sisi ni kwamba sisi mkuu wetu wa Nchi alitamka kwa maneno kuwa kuhusiana na janga hili kwa sababu halina dawa,yeye Nchi anamkabidhi Mungu wakati huo akiwaasa wa-Tanzania kumuomba Mungu kila mmoja kwa imani yake, pamoja na kuchukua tahadhari zinazotolewa na wataaluma wa afya, wa ndani na nje ya Nchi. Kwa hiyo tofauti iliyopo kati yao na sisi ni hiyo tu.