NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Watu wengi wanatabia ya kukurupuka linapotokea jambo ambalo ni muhimu kwao, tabia hii sio nzuri kwa wale great thinker. Wakati mjadala wa katiba mpya ulivyoanzishwa, Pr Shivji alikua ni among prominent figure ambao walisapoti idea ya katiba mpya, sasa kwa kua maoni ya wengi yalikua hayana uhakika nini hasa wanachokitaka ktk katiba mpya waliconclude tu kua ni swala zuri.
Hakuna anaepinga uhakika kua katiba mpya ni muhimu lakin ni bora tukajua kua katiba mpya inahitaji wataalam, gharama za kifedha na maoni ya wananchi.
Kinachoonekana ktk mijadala mingi ni kua wengi wanaojadili swala la katiba mpya, basi hata hiyo ya zamani hawajui inasemaje. Kwa kulizingatia hilo, kuna uwezekano mkubwa sana kua kushiriki kwao ktk kujadili swala zima la katiba kusiwe na maana yoyote zaidi ya kuwachanganya wananchi wa kawaida.
Ni vyema nafasi hii ikatumika kwa kuwafahamisha wengi kwanini tunataka katiba mpya pamoja na kuambatisha mifano kua katiba ya zamani inasemaje na tunataka ya sasa isemeje ktk specific matter.
Kwa mfano, kama utaangalia mkulima ambae kwa mwaka mzima anakuja mjini mara moja kutembea, concerns zake kuhusu katiba mpya ni tofauti na yule aliekua bungeni anatembelea shangingi.
Sasa, Kama katiba mpya inatakiwa ifaulu ni lazima izingatie mahitaji ya wote hawa. Tukiyafahamu hayo tuaweza kujua muda unaohitajika kulifanya hilo, umuhimu wa kulifanya hilo haraka na mengineyo.
Hakuna anaepinga uhakika kua katiba mpya ni muhimu lakin ni bora tukajua kua katiba mpya inahitaji wataalam, gharama za kifedha na maoni ya wananchi.
Kinachoonekana ktk mijadala mingi ni kua wengi wanaojadili swala la katiba mpya, basi hata hiyo ya zamani hawajui inasemaje. Kwa kulizingatia hilo, kuna uwezekano mkubwa sana kua kushiriki kwao ktk kujadili swala zima la katiba kusiwe na maana yoyote zaidi ya kuwachanganya wananchi wa kawaida.
Ni vyema nafasi hii ikatumika kwa kuwafahamisha wengi kwanini tunataka katiba mpya pamoja na kuambatisha mifano kua katiba ya zamani inasemaje na tunataka ya sasa isemeje ktk specific matter.
Kwa mfano, kama utaangalia mkulima ambae kwa mwaka mzima anakuja mjini mara moja kutembea, concerns zake kuhusu katiba mpya ni tofauti na yule aliekua bungeni anatembelea shangingi.
Sasa, Kama katiba mpya inatakiwa ifaulu ni lazima izingatie mahitaji ya wote hawa. Tukiyafahamu hayo tuaweza kujua muda unaohitajika kulifanya hilo, umuhimu wa kulifanya hilo haraka na mengineyo.