Sawa tufanye Jemedari anajipendekeza kwa GSM na tunaamini kabisa wewe hujipendekezi kwa GSM haya sasa tuambie jezi ya Yanga na ya Simba ipi ni nzuri, ipi ni viwango?Huyo mmakonde njaa inamsumbua anajipendekeza ili avute kitu kidogo kwa Ghalib
Akikujibu nitag.... afu kuna ile ya kijani ile unaweza enda nayo pale ofisi za NBC ukapewa mkopo bila maandishi wala dhamana...Sawa tufanye Jemedari anajipendekeza kwa GSM na tunaamini kabisa wewe hujipendekezi kwa GSM haya sasa tuambie jezi ya Yanga na ya Simba ipi ni nzuri, ipi ni viwango?
Yaani sema kabisa tu ukweli wako
Potelea mbali haya si mashindano ya mavazi.Kwa jezi hizo mbili.
Jezi ya yanga ni nzuri, wakati jezi zetu ni zipo zipo tu.
Shida tu siwezi kuvaa jezi ya yanga hata kwa bahati mbaya, ila ni jezi nzuri.
Uongozi mbovu. Usajili tu unawashindaUnadhani Simba tunafeli wapi mkuu
Yaaah sijui simba nan ana design jez zao jez zetu nzuri , kuna kipindi simba walikuwaga na jezi nzuri sijui nini kimetokeaKwa jezi hizo mbili.
Jezi ya yanga ni nzuri, wakati jezi zetu ni zipo zipo tu.
Shida tu siwezi kuvaa jezi ya yanga hata kwa bahati mbaya, ila ni jezi nzuri.
Elimu isiyo na ada" hii nayo Simba kachukua 5...1 nyingine.... ndugu wa Mnyama Kuna shule huku"
Jemedari said...
Si naskia ni SandalandYaaah sijui simba nan ana design jez zao jez zetu nzuri , kuna kipindi simba walikuwaga na jezi nzuri sijui nini kimetokea
Nawaza kwanini tunachemka jezi kila mwaka,au kwa vile jezi nyekundu ni common ?Kwa jezi hizo mbili.
Jezi ya yanga ni nzuri, wakati jezi zetu ni zipo zipo tu.
Shida tu siwezi kuvaa jezi ya yanga hata kwa bahati mbaya, ila ni jezi nzuri.