Jemedari said: Simba kapigwa 5-1 kwenye jezi pia

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,782
24,213
" hii nayo Simba kachukua 5...1 nyingine.... ndugu wa Mnyama Kuna shule huku"

Jemedari said.... mchambuzi EFM

Nakala waione
Kalpana
Mshana Jr
FaizaFoxy
Mshana Jr
SAGAI GALGANO

Mnakubaliana na maoni ya jemedari?

1700662818163.jpg
 
Sawa tufanye Jemedari anajipendekeza kwa GSM na tunaamini kabisa wewe hujipendekezi kwa GSM haya sasa tuambie jezi ya Yanga na ya Simba ipi ni nzuri, ipi ni viwango?

Yaani sema kabisa tu ukweli wako
Akikujibu nitag.... afu kuna ile ya kijani ile unaweza enda nayo pale ofisi za NBC ukapewa mkopo bila maandishi wala dhamana...
 
Back
Top Bottom