Ila nina uhakika akitoka ataipenda shepu yake, hana kitambi tena.Dah aisee..
Singasinga kapukutika anatia hadi huruma
Ruge ndio kawa kama nguzo ya umemeIla nina uhakika akitoka ataipenda shepu yake, hana kitambi tena.
Alafu bado hawajaenda jela, wapo selo tu.
HahahaaaaRuge ndio kawa kama nguzo ya umeme
Hapo ni mahabusu! Wakiingia jela tunazika kabisa!!
Majuto ni mjukuu..Once you are behind bars ..ndo utajua uko dunia ya upande mwingine
Serikali nia yao hawa jamaa wafe nyie tuu ndo hamjajua..
Hivi kwa nini binadam akikonda anakuwaga mrefu hata kama alikuwa mfupiDah aisee..
Singasinga kapukutika anatia hadi huruma
Kinachomponza alijiamini kupitiliza na alijua magu nae angekuwa mpigaji mshirikishiDuh! Huyu singa singa alitakiwa akimbie nchi kitambo baada tu ya Magu kuchaguliwa. Yeye kazubaa amwangalie mwenzie Rostam Aziz chale zilimcheza.
Yaani wakipitiwa na homa tuu ni kwa heriRuge ndio kawa kama nguzo ya umeme
Serikali ni mimi na wewe.Serikali nia yao hawa jamaa wafe nyie tuu ndo hamjajua..