JEJE: Video ya wimbo Mkali toka Diamond

JEJE: Video ya wimbo Mkali toka Diamond

Bongo Flava is really fucked up.

YouTube has turned Good Music into Noisy Sounds.
 
Huyu Diamond aliaibisha taifa Kama mziki umememshinda apumzike
IMG_20200226_142304.jpeg
 
Copy and paste from Burna Boy, On the Low.

Unforgetable
kwa iyo,Wiz kid kamkopi Burna boy,Diamond akaja kukopi kwa Wizkid.....maajab ya dunia ni kwamba wimbo mmoja unafanana na nyimbo za wasanii watatu😂 Harmo,Burna na Kid,Mond kweli mwizi wa kimataifa
 
Mtabweka weeee ila nyimbo ndo ishatoka mpende msipende ngoma lazima itembee tena Mnavyobweka hivyo ndo mnasaidia kuipush bora hata mngekaa kimya mama€ kazi mnayo na mwezi 3 hauishi tunashusha Chuma kingine maanina


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
vishabiki vya team fulani vinajitaidi kuharibu uelekeo bt jamaa kashawalia timing kitambo hivo watabaki kulia lia daily huku dawa inawaingia
 
Alafu sasa cha ajabu,nje watu wanashow luv,lakin ndan sasa [emoji16]
sijawahi kuona diamond platnamz ametoka wimbo halafu watu msiuponde.. huwa mnaponda hivi hivi afu mwisho wa siku akitoa next song mnaanza kusema the last one was the best .. swali ni kwanini wabongo mnapenda sana kusifia wakati uliopita badala ya uliopo.?

leo hii utakuta mtu anakuambia nyimbo za diamond zilikuwa ni inama, the one, nk lakini cha ajabu kipindi zimetoka hakuzisifia . tuache unafiki ndugu zangu. hii ndio sababu tunasifiaga marehemu kuliko mtu akiwa hai

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mzee ya vijana yanakuhusu nini?
Kama wimbo huwezi kuuangalia sebuleni na watoto ujue ni uchafu tu.
Kama wimbo hauna dira ya kusikilizika miaka kadhaa ijayo ujue hauna hadhi ya kupigiwa debe.
Wapi mzee Kinkikiii...... vijana wameishiwa!
 
Back
Top Bottom