sijawahi kuona diamond platnamz ametoka wimbo halafu watu msiuponde.. huwa mnaponda hivi hivi afu mwisho wa siku akitoa next song mnaanza kusema the last one was the best .. swali ni kwanini wabongo mnapenda sana kusifia wakati uliopita badala ya uliopo.?hovyo haijawahi kutokea duniani hatga hamorapa anamshinda mbali, hata ile miziki ya komedy ya akina kingwendu konyekonye na kademu ka mizinga wanamzidi mbali
Wimbo mbovu
Video haina ubunifu
Wazee wa yeebabaaa naona mpo mstari wa mbele.hovyo haijawahi kutokea duniani hatga hamorapa anamshinda mbali, hata ile miziki ya komedy ya akina kingwendu konyekonye na kademu ka mizinga wanamzidi mbali
Kama fever... Kuna kamdundo fulani wameshareNaona ina sound kama joro ya wizkid, au masikio yangu yana tatizo.
sijawahi kuona diamond platnamz ametoka wimbo halafu watu msiuponde.. huwa mnaponda hivi hivi afu mwisho wa siku akitoa next song mnaanza kusema the last one was the best .. swali ni kwanini wabongo mnapenda sana kusifia wakati uliopita badala ya uliopo.?
leo hii utakuta mtu anakuambia nyimbo za diamond zilikuwa ni inama, the one, nk lakini cha ajabu kipindi zimetoka hakuzisifia . tuache unafiki ndugu zangu. hii ndio sababu tunasifiaga marehemu kuliko mtu akiwa hai
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni Me au Ke... Samahani lakiniNumber 1 trending sooon.........................timu konde watapata tabu sana