Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
- Thread starter
- #281
Ukiliongea hili unaitwa mchochezi bestBest Sky Eclat nilikutana na wadada watatu Dar mwezi February mwaka huu ni waajiriwa wa TTCL. Wanapita nyumba kwa nyumba kujaribu kuongeza wateja wa TTCL na wanalipwa kwa commission.
Wote hao ni graduates wa UDSM na walijipinda hasa chuoni ili kupata honours kwa kujua zingewasaidia kupata ajira za maana.
Mara nyingi tu hawapati wateja wapya au mmoja hadi watatu kwa siku labda siku moja au mbili kwa wiki. Usafiri ni juu yao na bado wana gharama nyingine za kila siku za maisha.
Na marafiki zao wengi waliomaliza nao bado wanasaga lami/vumbi. Inasikitisha sana hali ya ajira nchini kusema kweli.