Mkuu na vp yule Mungu aliyeuwawa msalabani na wanaadamu ambao kawaumba yy mwenyewe?
Yaani Mungu kaumba wanaadamu alafu wanaadamu wakamgeukia Mungu wao aliyewaumba wakampiga na kumuua msalabali!!!!?
Yule Mungu alijitoa kwa hiari yake ateswe, hakushurutishwa, maana alikuwa na uwezo wa kuyatoa maisha yake, na kisha kuyatwaa., na hiyo ndo sababu aliwazuia kina petro(wanadamu) wasimpiganie kwa mapanga ile siku.
Na ndiyo maana alifufuka kutoka wafu km alivyopanga na anaendelea kutawala.
Huwa napenda sana maneno ya baba'ke Gideon, pale Gideon alipovunja masanamu ya Baal, na wafuasi wake ku react, Mzee akawaambia,
Let Baal defend himself, if he is a real God.
Vivyo hivyo, ikiwa Muhamad ni Mtume, mteule wa Mungu, pale anapokejeliwa na watu, tumwache ampiganie mteule wake, maana anapendezwa nae.
Swali jingine?