Jeb bush considering running for president 2016

Jeb bush considering running for president 2016

Clinton vs bush again .what do you all think?

If this happens it will make an exciting, nail-biting election night. The big winners though will be the media (ads, ratings, etc.).

I thought mama Bush forbade Jeb from running ... :violin:
 
That will be an easy win for Hilary, GOP is now in disarray. Presidency is a very long shot, unless Christ Christie comes up top in his current scandal and run, otherwise white house will again be blue.
 
That will be an easy win for Hilary, GOP is now in disarray. Presidency is a very long shot, unless Christ Christie comes up top in his current scandal and run, otherwise white house will again be blue.

You are right about Clinton. Chris Christie is toast.
 
Kama naona kwa mara nyingine tena CowBoy kutoka Texas anatinga Nyumba Nyeupe kiutani utani vile. Huyu Jebb Bush ndio aliesaidia kwa kiasi kikubwa kumuingiza kaka yake Bush Mtoto, Mjengoni kwenye zile kura za utata za Jimbo la Florida wakati yeye alipokuwa Govorner wake,na huyu nae ni miongoni mwa Wahafidhina Mamboleo.
 
That will be an easy win for Hilary, GOP is now in disarray. Presidency is a very long shot, unless Christ Christie comes up top in his current scandal and run, otherwise white house will again be blue.
Wewe Clinton 2004 mlisemaje? Barack Obama akammwangusha.Iowa Iowa ,Iowa.Candidates kibao hawajajitokeza.Halafu Bill Clinton anam mwita bush senior Baba maana Bill hakuwa na baba unaambiwa Kwenye interview ya Barbara Bush ,Clinton alikuwa anasaidia kumuuguza Bush senior wakisafiri anamwangalia na vacation Bill anaendaga Tx ranch .Bushes wanapendwa Sana na Mexicans kwa Sababu mkewe mmexico.Hillary nil mshangilia kwelikweli alivyo kuwa anagombania weakness zake nyingi Sana .Clintons ndio wanafanya Obama anahaha sasa kwa kummaliza kichinichini .Christ republican hawampendi kwa Sababu alimkumbatia Obama hurricane sandy na ndio wanashabikia scandal yake .MIMI nataka jina lingine Clinton / bush enough .
 
You are right about Clinton. Chris Christie is toast.

Obama care ni tishio kwa democratic sasa Hivi na Obama ajitahidi apitishe immigration reform otherwise Waspanish watahama kambi.Uchaguzi wa USA ni state kwa state Hillary sio Obama at all .Obama is charismatic politician na mweusi wa kwanza .Mnakumbuka black community ili mwita Hillary na Bill racist .Siasa Ngumu Sana
 
Aje tu tumgaragaze. Namshauri asikie ushauri wa mama yake.
 
The race is for Hillary to loose. So far she has a shot. Unless Repubs bring on TED CRUZ
 
Back
Top Bottom