Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wana jamvi huko bungeni ili tajwa kuwa tangu mwaka 1968 zanzibar haijawahi kuchangia katika kapu la muungano,je katika gharama za maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano zanzibar wamechangia?