Je, Zanzibar wamechangia pesa za maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya Muungano?

Unajidanganya ndugu kwa imani na wema mlo nao hata mtoe umeme bure kwa Zanzibar, mnauwana kwa shilingi 100 mtakuwa na moyo wa kutowa bure nyinyi yaguju.

mgenikaribu;
Kama jina lako lilivyo, weye kweli ulimkaribisha mgeni ili mwenyeji uponeee hapo. Hebu tuambiye, Zenj mnatoa shs ngapi kwa kulipia huo umeme? Mbona mwatufanya siye majuha? Hao wajumbe wako ulowatuma humo BMK si ndo wale walokwambieni wakirudi Zenj waja na Taifa kamili lenye mamlaka? Mbona tena wamefika na kugwaya? Miaka 50 bado kero zipo pale pale leo mwataka kuongeza mda gani wa kuinyonya Tanganyika? Mtoto miaka 50 bado hajakua kwa mamake, huyop sio rizki.
 
Wana jamvi huko bungeni ili tajwa kuwa tangu mwaka 1968 zanzibar haijawahi kuchangia katika kapu la muungano,je katika gharama za maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano zanzibar wamechangia?

Je Tanganyika ilishawahi kuchangia?

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
mgenikaribu;
Kama jina lako lilivyo, weye kweli ulimkaribisha mgeni ili mwenyeji uponeee hapo. Hebu tuambiye, Zenj mnatoa shs ngapi kwa kulipia huo umeme? Mbona mwatufanya siye majuha? Hao wajumbe wako ulowatuma humo BMK si ndo wale walokwambieni wakirudi Zenj waja na Taifa kamili lenye mamlaka? Mbona tena wamefika na kugwaya? Miaka 50 bado kero zipo pale pale leo mwataka kuongeza mda gani wa kuinyonya Tanganyika? Mtoto miaka 50 bado hajakua kwa mamake, huyop sio rizki.[/QUOTE

Takwimu za shs. ngapi zimelipwa sijui kwa T/Bara au Tanganyika maana hamufahamiki muitwe nchi gani fuatilia TANESCO utazipata. Kuhusu kunyonya, mukimuachisha leo ataacha kunyonya maana hayo maziwa mnayompa yana sumu yanamfanya asitembee kwa miguu yake.
 
Tumechoka kubembeleza urafiki wkt miji2 yenyewe haiishi lawama. Tanganyika kwanza tanzania badae.

Ha ha ha wewe unataka Tanganyika, utatanga na nyika sana, maana wakubwa zako hawaitaki. Imeishi kwa miaka 1.5 (Pinda, 2014), na imeshazikwa miaka 50 iliopita.
 
Wana jamvi huko bungeni ili tajwa kuwa tangu mwaka 1968 zanzibar haijawahi kuchangia katika kapu la muungano,je katika gharama za maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano zanzibar wamechangia?

Kuna utata na usiri wa hali ya juu katika kuweka bayana matumizi na mapato ya mambo ya Muungano.

Kuna Uzi/thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...itta-nyerere-na-wa-tz-bara-3.html#post3064584 na hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...tta-nyerere-na-wa-tz-bara-13.html#post3069793 na hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...tta-nyerere-na-wa-tz-bara-18.html#post3071438 na https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...tta-nyerere-na-wa-tz-bara-18.html#post3071464 ambayo iliibua hoja ya kuwa mambo ya Muungano yanaweza kujiendesha kutokana na mapato ya mambo ya Muungano. Kwa unafiki tu, ripoti hiyo haijawekwa wazi kama ilivyo kawaida ya serikali kuzifungia kwenye makabati.

Pia kuna hii kauli ya Mkulu : "...Serikali mbili zimekubaliana fomula na kwamba kero iliyobaki ni mgawanyo wa mapato na mgao wa Zanzibar katika benki na masuala ya vyombo vya moto ambalo linazungumzwa kiutawala na kuahidi kuwa baada ya muda mfupi litapatiwa ufumbuzi. link

Home

Wanasiasa wajanja wanakalia ripoti na kufanya mahesabu ya Muungano kuwa ni siri nyeti hali ambayo inaibua mizuka tu kwa wananchi wanaopenda mhemko na habari za kubuni. Serikali imekalia ukweli wote kuhusu mapato na matumizi ya mambo ya Muungano.

Kuna mtindo wa wananchi wanaokataa kuhoji "maujanja ya wanasiasa" huishia kuulizia matumizi tu ya mambo ya Muungano bila kuulizia mapato ya mambo ya Muungano pia.

Mfano,Kuna "watu" wameishia kutoa kauli kuwa gharama za serikali tatu zitakuwa ni kubwa na hatuwezi kuzimudu. Ukipitia mahesabu ya wale tuliowapa kazi ya kukusanya na kuratibu maoni ya wananchi wamekuja na mahesabu ambayo huyasikii kabisa yakitajwa au kukosolewa. link Warioba: Serikali ya Muungano haitakopa fedha - Kitaifa - mwananchi.co.tz
 
mgenikaribu;
Kama jina lako lilivyo, weye kweli ulimkaribisha mgeni ili mwenyeji uponeee hapo. Hebu tuambiye, Zenj mnatoa shs ngapi kwa kulipia huo umeme? Mbona mwatufanya siye majuha? Hao wajumbe wako ulowatuma humo BMK si ndo wale walokwambieni wakirudi Zenj waja na Taifa kamili lenye mamlaka? Mbona tena wamefika na kugwaya? Miaka 50 bado kero zipo pale pale leo mwataka kuongeza mda gani wa kuinyonya Tanganyika? Mtoto miaka 50 bado hajakua kwa mamake, huyop sio rizki.[/QUOTE

Takwimu za shs. ngapi zimelipwa sijui kwa T/Bara au Tanganyika maana hamufahamiki muitwe nchi gani fuatilia TANESCO utazipata. Kuhusu kunyonya, mukimuachisha leo ataacha kunyonya maana hayo maziwa mnayompa yana sumu yanamfanya asitembee kwa miguu yake.

Mgenikaribu;
Sina haja ya kwenda Tanesco kupata takwimu za malipo kwani twajua hilo shirika ninyi wazenj ndo mmelifilisi kwa umeme wa bure. Mnapewa ka peremende msilie zaidi.
Tatizo la pili la kuliachisha maziwa hili toto ili liweze kusimama miguu miwili ni kuwa, sasa limelemaa. Limenyonya mno manyama upumbavu yakalipata. Kusimama haliwezi wala hata kujisaidia haliwezi tena. Nasema limevimbiwa kiasi sasa limebaki kumtukama mama na kumtishia maisha. Nendeni tuuu, tumechoka
 
Mgenikaribu;
Sina haja ya kwenda Tanesco kupata takwimu za malipo kwani twajua hilo shirika ninyi wazenj ndo mmelifilisi kwa umeme wa bure. Mnapewa ka peremende msilie zaidi.
Tatizo la pili la kuliachisha maziwa hili toto ili liweze kusimama miguu miwili ni kuwa, sasa limelemaa. Limenyonya mno manyama upumbavu yakalipata. Kusimama haliwezi wala hata kujisaidia haliwezi tena. Nasema limevimbiwa kiasi sasa limebaki kumtukama mama na kumtishia maisha. Nendeni tuuu, tumechoka

Richmond, Intarahamwe, ufisadi, ujangili, kubeba sembe, mfumo kirsto oyeeeeeeeee, huwezi kujibu hoja na mtuache tupumuwe
 
Shen siku ya muungano hawezu pata fursa hiyo ya kupigiwa mizinga. Anakuwa kama Malinzi wa TFF tu
Hahahahaha
 
Kama sio nchi, kwanini ina rais na wimbo wa taifa?

Je unakubaliana na mimi kwamba MAHAKAMA ndio chombo pekee chenye uwezo wa kutafasairi sheria zetu?! Kama swala ni RAIS mbona hata CHANEZA (Chama cha Netball Zanzibar) kina RAIS? Kama ni WIMBO na BENDERA mbona hata Yanga wana bendera yao na WIMBO wao " Yanga daima mbele nyuma mwiko"
 
Mkuu sherehe ufanye wewe nyumbani kwako halafu utake jirani yako akuchangie, inakuja kweli?
Wana jamvi huko bungeni ili tajwa kuwa tangu mwaka 1968 zanzibar haijawahi kuchangia katika kapu la muungano,je katika gharama za maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano zanzibar wamechangia?
 
Wana jamvi huko bungeni ili tajwa kuwa tangu mwaka 1968 zanzibar haijawahi kuchangia katika kapu la muungano,je katika gharama za maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano zanzibar wamechangia?
hata wasipochangia hiyo difference ina impact gani kwenye budgeti za bara za maendeleo na kama ZNZ wangechangia hiyo hela ambayo tanzania wangeokoa ingefika ambapo haikufika kutokana na kupelekwa kwenye muungano?
 
Ha ha ha wewe unataka Tanganyika, utatanga na nyika sana, maana wakubwa zako hawaitaki. Imeishi kwa miaka 1.5 (Pinda, 2014), na imeshazikwa miaka 50 iliopita.

Pinda ameboronga kwani Tanagnyika ilizaliwa mwaka 1922! Ilibatizwa 1961 na ikafa 1964 na itafufuka 2014 ikiwa na utakatifu kamili (i.e. uongozi uliotukuka!)
 
Richmond, Intarahamwe, ufisadi, ujangili, kubeba sembe, mfumo kirsto oyeeeeeeeee, huwezi kujibu hoja na mtuache tupumuwe

mgenikaribu;
Funika kombe mwanaharam apite. Weye upo kwenye mfumo kristo leo, huo utitiri mlioupanga labda ni weye tu hujakumbukwa. Zamu yako yaja yakhee usiogope. Mmesha wavurugha hao makafir hata hawajijui tena walipo. Hebu jaribu tu kuangalia ile top layer. Woooote si mfumo mohamad!!! Jamani, tuache kusemasema. Tutaonekana wasio tosheka. Nyiye mmeshajulikana ni wadekadeka tu. Ila huku Tanganyika twajua yatima hadeki. Atatutetea nani siye? Ndo maana twataka tumwamushe Tanganyika yetu. Hapo ndo mtujua ni mfumo kristo au mfumo ngedere
 
Pinda ameboronga kwani Tanagnyika ilizaliwa mwaka 1922! Ilibatizwa 1961 na ikafa 1964 na itafufuka 2014 ikiwa na utakatifu kamili (i.e. uongozi uliotukuka!)

Mhe. Pembe kuwa makini unasema Mhe. Waziri Mkuu kaboronga, akisikia mwenyewe atainua kilio kuwa umemtusi.
 
mgenikaribu;
Funika kombe mwanaharam apite. Weye upo kwenye mfumo kristo leo, huo utitiri mlioupanga labda ni weye tu hujakumbukwa. Zamu yako yaja yakhee usiogope. Mmesha wavurugha hao makafir hata hawajijui tena walipo. Hebu jaribu tu kuangalia ile top layer. Woooote si mfumo mohamad!!! Jamani, tuache kusemasema. Tutaonekana wasio tosheka. Nyiye mmeshajulikana ni wadekadeka tu. Ila huku Tanganyika twajua yatima hadeki. Atatutetea nani siye? Ndo maana twataka tumwamushe Tanganyika yetu. Hapo ndo mtujua ni mfumo kristo au mfumo ngedere

Nishalifunika hilo kombe kwa zege, lakini huo ndio ukweli Tanzania inaongozwa na Roman Catholic, hao mliwaweka huko juu nimaboya tu kazi yao ni kutembea na mikasi kwenda kufungua majengo na kushirki kwenye matukio ya vifo nk. Kadinali Pengo akikohoa tu wote wanaufyata.
 
Nishalifunika hilo kombe kwa zege, lakini huo ndio ukweli Tanzania inaongozwa na Roman Catholic, hao mliwaweka huko juu nimaboya tu kazi yao ni kutembea na mikasi kwenda kufungua majengo na kushirki kwenye matukio ya vifo nk. Kadinali Pengo akikohoa tu wote wanaufyata.

mgenikaribu;
Sasa nimeamini, mtu akiamua kuwa juha anaweza tu. Yaani kweli mzee wa mikasi naye unamwita Mkatoliki? Baas bhana, nimenyoosha mikono juu. Sikuwezi. Mzee wa mikasi ni Mkatoliki?? Unamwona mzee Sawasawa kuwa ndiye angefaa aongoze? Nimekubali yaishe
 
Back
Top Bottom