Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,635
ni waaminifu ukiwa naye kitandani akitoka nje anakuwa cha wote!
Kumbe eeh
ni waaminifu ukiwa naye kitandani akitoka nje anakuwa cha wote!
Ewaaa, haya sasa ndio maneno. Tuombe Mungu aendelee kutusamehe.
Usilishe watu sumu yako.
Dr Slaa alishajiondoa kwenye kwenye upadre!
Tupo bado, usikate tamaaJe yupo mwanaume ambaye hajawahi kumsaliti mpenzi/mkewe,nikianzia hapa jamvini maana kila mahali vilio vya wanawake vimekuwa vingi,japo usaliti huo wanawake wanashiriki maana wanaume hawaufanyi peke yao.
kwahiyo kabla ya hiyo miaka nane ulishazini,uaminifu uko wapi hapowanaume waaminifu tupo, mimi moja wapo kwa kipindi cha miaka nane sijawahi kuzini
Bado sijamsalitiJe wewe ni muaminifu hujawahi msaliti mwenza wako?
sijisifii toka nimemuo mke wangu 2005 sijawahi kutoka inje ya ndoa yangu na yeye pia huniambia hajawahi kunisaliti ingawa tumeanza uchumba 2003 nilipomjua ila 2004 nilibakwa na rafiki yake wa kike inamaana katika miaka yangu 10 ya ndoa nimetoka mara moja huu ndiyo ukweli wangu
Aaaaaaaamiiiin!!!!!!!
Na watu wote waseme Ameen!
Hatuna jinsi. Kama wanagoma kukataa sisi tufanyeje?
wanaume waaminifu tupo, mimi moja wapo kwa kipindi cha miaka nane sijawahi kuzini
labda mapadre :tape:
mhhh!!! enzi zangu nilikua natoka na padre wa parokia ya mt nanihii...