Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Nipo mimi. Hahaha
Lol. Teh teh
Nipo mimi. Hahaha
Lol. Teh teh
Dr. Slaa.
ndio wapo wanaume na wanawake waaminifu
.....Yes, wanaume waaminifu ambao hawajawahi kucheat wapo.
ndio wapo wanaume na wanawake waaminifu
Binafsi Mimi sio mwanaume Mwaminifu. Haina haja ya unafki
.....Yes, wanaume waaminifu ambao hawajawahi kucheat wapo.
hihihiihihi mbavu zanguu
Je yupo mwanaume ambaye hajawahi kumsaliti mpenzi/mkewe,nikianzia hapa jamvini maana kila mahali vilio vya wanawake vimekuwa vingi,japo usaliti huo wanawake wanashiriki maana wanaume hawaufanyi peke yao.
Safi sana, mkuu
Kwamfano mimi
Ewaaa, haya sasa ndio maneno. Tuombe Mungu aendelee kutusamehe.