GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Ni lini mtanijengea Sanamu langu GENTAMYCINE hapa JamiiForums au basi hata tu Kunupigia Salute kama Heshoma, kwani huwa nawapeni Taarifa kabla na Uhalisia wake huwa kuja kuwa Kweli.
Kama tu uliangalia Mechi Mbili za Wakubwa wa Tanzania jana ile ya Ndola Zambia na Kigali Rwanda nina uhakika utakuwa Umeshamjua huyo Mchezaji niliyekuwa Nimemlenga hasa.
Akhsante Mungu kwa Kunipa Shani.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Kama tu uliangalia Mechi Mbili za Wakubwa wa Tanzania jana ile ya Ndola Zambia na Kigali Rwanda nina uhakika utakuwa Umeshamjua huyo Mchezaji niliyekuwa Nimemlenga hasa.
Akhsante Mungu kwa Kunipa Shani.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!