Je wewe na mwenzio mnalalaje....? angalia...

Je wewe na mwenzio mnalalaje....? angalia...

ila kiafya wanasema kulala huku mnapumuliana sio vizuri huenda mkaambukizana maradhi,japo ndo hua inanoga na kuongeza chachu ya mapenzi.

honeymoon-sleeping-position.jpg



couple7437.png


5c7f286e-4ba9-44fb-b3c5-544dcb2884d1.jpg


FFD0EBD239BC43A8B960EFC25BA8E63B.jpg
 
Mkono lazima ushikilie vitu visije vikaibwa wakati nimelala usingizi. Ndio maana wanakuambiaga ukiamka asubuhi lazima ucheki kama vipo au washenzi wameondoka navyo na wakachelewea kukurudishia baada ya kuwangia hukooooooo! Ukinigusa mkono tu nitashituka. wachawi hawana dili wakikuta uko macho.
 
Makabwela hua tunajitupa tuu.............. Unapiga hata X kitanda kizima....... Au unajikunyata kati kati ya kitanda.....
 
Utafiti unaonyesha kuwa jinsi mnavyolala na mwenzio inaonyesha jinsi gani mahusiano yetu yalivyo na nguvu on the other side of the bed, facing the wall?



Umbali baina ya wapenzi, utafiti unaonyesha, wapenzi wanaolala kwa umbali wa chini ya inchi moja, yaonyesha kuwa wanafuraha pamoja kuliko wale wenye kuweka umbali wa zaidi ya inchi 30.

Na wale wapenzi wenye kutumia muda kabla ya kulala kwa kutomasana kidogo(making physical contact) wanakuwa na furaha zaidi kuliko wale wenzangu namie wasio gusana kabisa....


Utafiti huu ulionyeshwa nathe Edinburgh International Science Festival, na kazi ilifanywa na psychiatrist Samuel Dunkell.
Hiyo ni kwa ufupi tu hebu tujiangalie sisi tupo upande gani zaidi....
Karibuni tujadili....




article-2605498-1D2218AA00000578-492_634x690.jpg

Huo utafiti vipi? Mbona sijaona "mzungu wa 4"?
 
Back
Top Bottom