Je wewe na mwenzio mnalalaje....? angalia...

Je wewe na mwenzio mnalalaje....? angalia...

hapo sijaiona stail ninayoitumia
sleeping2.jpg
Naona style yako ni hii
 
mbona sijaona mzungu wa nne?

wengine tumeoa wanajeshi... mabuti na kulazwa style za kichura chura kawaida sana!.. lol!
 
inategemeana na siku. siku anarudi akitokea kwa mchepuko, ni kwamba analala kwa kochi mie nalala kwa kitanda kimshazali kwa nafasi. siku akirudi na ki-parcel mkononi bila kupitia kw amchepuko basi atapata masaa yake mawili ya zero distance nk nk
 
inategemeana na siku. siku anarudi akitokea kwa mchepuko, ni kwamba analala kwa kochi mie nalala kwa kitanda kimshazali kwa nafasi. siku akirudi na ki-parcel mkononi bila kupitia kw amchepuko basi atapata masaa yake mawili ya zero distance nk nk
au kwenye benchi...
s-SLEEP-large.jpg
 
mbona sijaona mzungu wa nne?

wengine tumeoa wanajeshi... mabuti na kulazwa style za kichura chura kawaida sana!.. lol!

ah...mapenzi haya angalii kazi bwana!
 
Back
Top Bottom