afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,210
Napouliza nilimaanisha kweli na maushauri yenu kama kawa yanafanyiwa kazi na practical juu...Katiba mpya hapa sio ile ya 50years back...hii dynamic KATIBA changes depends on what they advice...
mmmmmmhhh sasa wewe Mugulumagu wangu........ sijui nikufanyaje au nikwambie nini....
sasa we ukichukua ukchukua ushauri wote hapa si balaa tu ndugu yangu...
hapa tu ndo mahali unaruhusiwa kchakachua uchaguzi na kuchukua matokea tu yanao kufa weye...
mmmmmmmhhhhhh kwa kweli sasa rafiki yako alijua ulipata kitu ndani ya boxi yake kutoka kwa mke wake???