Je, wewe huwa unavutiwa na nini?

Je, wewe huwa unavutiwa na nini?

Tunajadili ujinga ujinga tu.

Anyway bright bright woman ndo kile napenda ,
Kwanini sasa mwanamke hayuko bright!
 
Yaaani wewe ukikutana na mimi sipati hata shida ya kukutongoza ni kuvuta n kubamiza tu... Mi nimepitiliza izo sifa aiseee...

Nataman nkujue upo wapi nijipitishe mamamae
Mwanaume akuwe tu na seductive eyes, anipite urefu halafu akuwe smart upstairs..!! Mbona nadata..!
 
Yaaani wewe ukikutana na mimi sipati hata shida ya kukutongoza ni kuvuta n kubamiza tu... Mi nimepitiliza izo sifa aiseee...

Nataman nkujue upo wapi nijipitishe mamamae
Hehee..!!
Huwa inategemea siyo kila A ni jibu la swali, unaweza ukawa mrefu kama mvua, still nikakutazama na hujanivutia..!!
 
watoto wangekuwa wameshalala ningetoa neno. ngoja teenagers walale kwanza
 
Back
Top Bottom