Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,323
- 40,171
Kila mmoja anasehemu yake anayovutiwa kwa mwenzake;mi huvutiwa sana na chura ya asili iliyojazia na sura inayovutia....nikiona kiumbe wa namna hiyo huwa nachanganyikiwa kabisa.Je wewe huwa unavutiwa na nini?