Mfano, Iringa university inatoa pgde, mtu yeyote mwenye degree unawez kusoma pale kitu ambacho sio sahihi.
Kwa mfano, advance umesoma HGL na chuo ukasoma sheria, ukienda Iringa university wanakuuliza masoma yako ya kufundishia ni yepi? Kwa vyovyote utasema kati ya hayo matatu ulosoma advance.
Baada ya hapo watakufundisha kozi na misingi ya ualimu tu, badala yake wanapaswa wakufundishe pia content za masomo husika.
Kwa mfumo wa iringa un. Inawafaa waliosoma chuo soma husika mfano kuna jamaa yangu alisoma hesabu tu degree hivyo anahitaji misingi tu ya ufundishaji maana base ya hesabu anayo ya chuo na si advance.