Je, wazalishaji wakubwa wa dhahabu Afrika wao mikataba yao ikoje?

kiker

JF-Expert Member
Dec 18, 2014
1,042
594
Wakuu najaribu tu kujiuliza hivi tulishawahi kupeleka wataalamu kule South Africa au Ghana.. Ili tujifunze mikataba yao ikoje? Maana haiingii akilini kusaini mkataba wa madini yenye thamani kama dhahabu kuwa serikali itapata 4%halafu 96%wachukue wao?? Ile win win situation aliyoisema yule mzungu sielewi kabisa!. Ni kama anatukejeli vile! Nawaomba kuwakilisha wakuu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom