Je, watu wa Tanzania wanastahili 5G

Je, watu wa Tanzania wanastahili 5G

CA14 Mnyamili

Member
Joined
Sep 11, 2022
Posts
5
Reaction score
5
Jamani Mimi sielewi kwanini tuna wekewa huduma ya 5G wakati hata hatujafikia asilimia 90 ya watanzania wanao miliki simu TANASHATI (smartphone).

Pia wengi hatujui madhara ya RADIO FREQUENCY katika afya zetu.

MUNAOJUA MASWALA ya RADIOLOGY jitokezeni mnipe ukweli juu ya swala hili
 
Jamani Mimi sielewi kwanini tuna wekewa huduma ya 5G wakati hata hatujafikia asilimia 90 ya watanzania wanao miliki simu TANASHATI (smartphone)
Pia wengi hatujui madhara ya RADIO FREQUENCY katika afya zetu.....
MUNAOJUA MASWALA ya RADIOLOGY jitokezeni mnipe ukweli juu ya swala hili
Tatizo lingine ni asilimia kubwa watanzania simu hazisupport 5G

Lakini labda itapelekea chachu ya mabadiliko ya vifaa hivi Ili kuendana na teknolojia

Maono pia,gharama ya product(simu,tablets n.k) zisizo support 5G kushuka bei na kupelekea tusio na uwezo wa Kimiliki smartphone kupata ahueni ya kumiliki hata kifaa cha 3G kutokana na gharama ya Mauzo kushuka
 
Jamani Mimi sielewi kwanini tuna wekewa huduma ya 5G wakati hata hatujafikia asilimia 90 ya watanzania wanao miliki simu TANASHATI (smartphone)
Pia wengi hatujui madhara ya RADIO FREQUENCY katika afya zetu.....
MUNAOJUA MASWALA ya RADIOLOGY jitokezeni mnipe ukweli juu ya swala hili
me nahc labda n kuongez motisha kwa wale ambao hawan simu au vifaa vya internet wanunue ila pia n kurahisi kazi kwa kuwa na speed kubwa ya internet kwa hawa watumiaji wachache.


japo kuwa namba ya watumiaji n ndogo
 
me nahc labda n kuongez motisha kwa wale ambao hawan simu au vifaa vya internet wanunue ila pia n kurahisi kazi kwa kuwa na speed kubwa ya internet kwa hawa watumiaji wachache.


japo kuwa namba ya watumiaji n ndogo
Teknolojia inakua kwa kasi.

Miaka miwili ijayo hata mid range phones zitakuja na tech ya 5G.
 
Jamani Mimi sielewi kwanini tuna wekewa huduma ya 5G wakati hata hatujafikia asilimia 90 ya watanzania wanao miliki simu TANASHATI (smartphone).

Pia wengi hatujui madhara ya RADIO FREQUENCY katika afya zetu.

MUNAOJUA MASWALA ya RADIOLOGY jitokezeni mnipe ukweli juu ya swala hili
5G si mobile first tushaongea sana Humu. 5G ni simu na vitu vyengine kama IOT, voda wamefunga 5G na wanafocus kwenye biashara mbalimbali zinazohitaji internet zenye speed, na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa tu sababu Fiber hazijafika maeneo mengi ya dar sembuse mikoani.
 
Lakin JE hii 5G haina madhara katika afya zetu watanzania au MADHARA yake YAKOJE
Mkuu wifi inatumia band kubwa kushinda band zote za 5G hapa Tanzania. Band zilizouzwa na Tcra kwa 5G ni 700, 2300, 2600 na 3500, hivyo 3500 ndio kubwa zaidi wakati Wifi inatumia hadi 5Ghz (5000) hivyo kama 5G ina madhara basi ni cha mtoto compare na wifi, toka tupo wadogo hadi leo simu zetu zina wifi.
 
Bundles ni changamoto sana, yaani si wengine inabidi tufanye settings 3G maana hata 4G ni matatizo
 
Mkuu wifi inatumia band kubwa kushinda band zote za 5G hapa Tanzania. Band zilizouzwa na Tcra kwa 5G ni 700, 2300, 2600 na 3500, hivyo 3500 ndio kubwa zaidi wakati Wifi inatumia hadi 5Ghz (5000) hivyo kama 5G ina madhara basi ni cha mtoto compare na wifi, toka tupo wadogo hadi leo simu zetu zina wifi.

Borea ENZI za mababu zetu ila miaka hii na inayo kuja yan sijuiiiiii...........??!
 
Borea ENZI za mababu zetu ila miaka hii na inayo kuja yan sijuiiiiii...........??!
Hata Enzi za mababu zilikuwepo hizo band, Satelite ipo siku nyingi sana. C BAND ina range 4 mpaka 8 Ghz ku ni 11 mpaka 20Ghz.

Ndio maana unaona kuna mvutano baina ya 5G na watu wa Anga kama Airport. Sababu frequency zinaingiliana.

Hivyo miaka na miaka hizi frequency zipo na tunazitumia.
 
Jamani Mimi sielewi kwanini tuna wekewa huduma ya 5G wakati hata hatujafikia asilimia 90 ya watanzania wanao miliki simu TANASHATI (smartphone).

Pia wengi hatujui madhara ya RADIO FREQUENCY katika afya zetu.

MUNAOJUA MASWALA ya RADIOLOGY jitokezeni mnipe ukweli juu ya swala hili

5G haijaibuliwa kwa ajili ya mobile broadband pekee bali ni mfumo wa mawasiliano ulioibuliwa ili kuruhusu mashine moja au zaidi kuweza kuwasiliana na mashine nyingine...

Hivyo hata kama kusipokuwa na mmiliki hata mmoja wa simu ambayo ina modulator yenye kutafsiri 5G mm waves, bado njia hii ya mawasiliano inaweza kutumiwa na AI machines...

Kitu pekee kitachochelewesha uwepo wa 5G maeneo yote ya Tanzania kwa haraka, ni uwekezaji mkubwa wa mifumo na miundombinu ya telecom...

Kwa sasa wanachofanya hawa operator, ni kutumia mifumo na miundombinu iliyopo ya LTE (4G), uwekezani mdogo wanaufanya kwenye software upgrades na kuongezea vitu vichache upande wa radio access kama antenna na BBU za 5G...
 
Back
Top Bottom