Je, Watanzania mlio nje ni vibarua na wabeba maboksi?

How many Kenyans would you say live in the US, both legally and illegally? And how many would you say live in South Africa, once again, both legally and illegally?
Depending on which website you believe, there are anything from 100,000 to 500,000 Kenyans in the US. And between 5,000 and 100,000 Kenyans in South Africa.

Allafrica.com

Main article: African Immigration to the United States
Nigerian Americans are citizens of the United States of America who are or descend from immigrants from Nigeria. Since the late 1960s and early 1970s, approximately one million Nigerians have immigrated in to the United States.
Similar to their proportion of population on the continent of Africa, Nigerians are the single largest contemporary African immigrant group in the United States. Nigeria's official current indigenous population is 140 million. It is estimated that 20 million people of Nigerian descent reside outside Nigeria, with the majority living in the United Kingdom (see Nigerian British) and the United States.[SUP][citation needed]
Source:Weekipedia

It is estimated over 2.5 million Kenyans live abroad, and last year alone they sent $609 million (Sh45.7 billion) in remittances ranking them as the fourth biggest source of foreign exchange and contributor to growth of the national economy after horticulture, tea and tourism. This might explain why on the eve of every General Election, all presidential candidates trawl communities abroad for financial and moral support. But what do they get in return? The community abroad remains disenfranchised[/SUP]

Allafrica.com

Some 45,000 Tanzanian-born people are currently living abroad, the overwhealming majority of these reside in the United Kingdom (over 32,000), whilst thousands also live in Canada, the United States and various European nations

Weekipedia
 
Nilisahau pwenti moja. Sisi hatutumi pesa. Nyie mliioko huko kizani mmefanya nini zaidi ya kuchakachuana. I don't pay damn even if you commit suicide. Kama unaona kuishi nje ni rahisi si uje. Kama unaona ni kubeba maboksi na ukihiyo si uje ujaribu uone. Nyie mlioko huko mkiishi kama mimende hamna bao zaidi ya ulimbukeni na utegemezi. Sisi siyo ATM machines zenu kama alivyotonya jamaa mmoja hapo juu.
 
Nilisahau pwenti moja. Sisi hatutumi pesa. Nyie mliioko huko kizani mmefanya nini zaidi ya kuchakachuana. I don't pay damn even if you commit suicide. Kama unaona kuishi nje ni rahisi si uje. Kama unaona ni kubeba maboksi na ukihiyo si uje ujaribu uone. Nyie mlioko huko mkiishi kama mimende hamna bao zaidi ya ulimbukeni na utegemezi. Sisi siyo ATM machines zenu kama alivyotonya jamaa mmoja hapo juu.

Gonjwa la kutupiwa mitumba na wamisionary na misaada toka ulaya bado linawatesa wabongo badala ya kuhaingaikia rasilimali zilizoko
 
Wakuu kutuma hela Tanzania si lazima umtumie mtu unaweza kuwa uajitumia mwenyewe ntatoa ufafanuzi. Wengi wa watanzania walioondoka Tz kabla ya 1990 na katikati ya miaka ya 90 bado hawafahamu namna tanzania ilivyobadilika. Njia rahisi kabisa ya kutuma hela bongo ni kuwa na account Bongo in the currency that you work on abroad. Benki karibu zote hazitozi ile bank fee ya kila mwezi kama account yako ni zaidi ya USD5000.00.

Na kutuma hela za kawaida ($10,000 <) bongo kutoka ughaibuni (interbank transfer) - mara nyingi ni fixed price mfano benki yangu ni $23 na hela zako zinakaa kwenye currency ile ile. Benki nyingi bongo siku hizi zina internet banking kwa hiyo unaweza kuiona na kufanya transaction zako popote pale ulipo. Ukitaka kumtumia hela mtu the only hassle inakuja kama unahitaji exchange rate nzuri maana hiyo ni mpaka bureau de change. Otherwise you can do another interbanking tranfer kwa rates zao au una transfer kwa mtu mwenye account ya foreign curreny anatoa anakuchenjia na kutuma unakokutaka. Utaratibu huu ni mgmu kidogo kwa wale wenzangu ambao kwa sababu binafsi hawawezi kuchomoka huko waliko na kuja bongo at least say one time in 2 years. Ila ni easy and reliable.

Tukija kwenye hoja siyo siri watanzania ni wachache sana nje ya bongo hili hasa naona ndiyo sababu ya diaspora remittances kuwa kidogo namna hiyo.


 
Wakuu kutuma hela Tanzania si lazima umtumie mtu unaweza kuwa uajitumia mwenyewe ntatoa ufafanuzi. Wengi wa watanzania walioondoka Tz kabla ya 1990 na katikati ya miaka ya 90 bado hawafahamu namna tanzania ilivyobadilika. Njia rahisi kabisa ya kutuma hela bongo ni kuwa na account Bongo in the currency that you work on abroad. Benki karibu zote hazitozi ile bank fee ya kila mwezi kama account yako ni zaidi ya USD5000.00.

Na kutuma hela za kawaida ($10,000 <) bongo kutoka ughaibuni (interbank transfer) - mara nyingi ni fixed price mfano benki yangu ni $23 na hela zako zinakaa kwenye currency ile ile. Benki nyingi bongo siku hizi zina internet banking kwa hiyo unaweza kuiona na kufanya transaction zako popote pale ulipo. Ukitaka kumtumia hela mtu the only hassle inakuja kama unahitaji exchange rate nzuri maana hiyo ni mpaka bureau de change. Otherwise you can do another interbanking tranfer kwa rates zao au una transfer kwa mtu mwenye account ya foreign curreny anatoa anakuchenjia na kutuma unakokutaka. Utaratibu huu ni mgmu kidogo kwa wale wenzangu ambao kwa sababu binafsi hawawezi kuchomoka huko waliko na kuja bongo at least say one time in 2 years. Ila ni easy and reliable.

Tukija kwenye hoja siyo siri watanzania ni wachache sana nje ya bongo hili hasa naona ndiyo sababu ya diaspora remittances kuwa kidogo namna hiyo.



Kuna njia moja ambayo ndio wengi wanaitumia. Unampa mtu huku pesa then ndugu yako anaambiwa akachukue hela dukani kwa mpemba bongo. Hiyo ndio watu wengi sana wanaitumia siku hizi tena rates ziko bomba mno kuliko sijui moneygram ama W-union
 
Ki ujumla, ni kweli wengi wetu tukishafika huku majuu tunaona tumeukata na huko home mtajiju! Ni lazima kila mtu ajifunze kula kwa jasho lake wahenga walisema " mtegemea cha nduguye hufa maskini" acheni kubweteka nanyi fanyeni kazi kwa bidii, ndio nabeba boxi lakini sijakuomba msaada, mbona naishi vizuri tu!!! Wewe uliyeko home mbona hamna lolote la maana unalofanya zaidi ya ufisadi na matumizi mabaya ya raslimali.
Pesa mnazopewa na wahisani tu mnafuja sembuse zangu? Niacheni nile vyangu na kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake......... HABARI NDIO HIYO.................... msg sent
 
Kuna njia moja ambayo ndio wengi wanaitumia. Unampa mtu huku pesa then ndugu yako anaambiwa akachukue hela dukani kwa mpemba bongo. Hiyo ndio watu wengi sana wanaitumia siku hizi tena rates ziko bomba mno kuliko sijui moneygram ama W-union

Duh! sasa hiyo nadhani inategemea uko nchi gani na state/ province gani kuna watu wamejichimbia unakuta mtanzania wa karibu yupo 1000km.
 
kama watu wenyewe wanaotaka uraia wa nchi mbili opinion zao ndo hizo hapo juu mimi siungi mkono! dual citizen hell no!
 
Sio kweli kwamba waTZ ni wachache sana huko Majuu na siyo kweli kwamba wengi wao sio professionals ambao kazi yao ni kubeba maboksi n.k. Shida kubwa kwa waTZ wengi (siyo wote) popote walipo wanakosa uzalendo kwa nchi yao. Wengi hawapendi kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa. Hata hao wafanyakazi waliopo bongo kama wangepewa mishahara yako ili wakalipe kodi wenyewe wengi wangefukuzwa kazi kwa kukosa uaminifu wa kulipa kodi kwa hiari. Mungu bariki kodi ya mishahahra hukatwa juu kwa juu!

Hata hivyo hata kile kinacholipwa na hawa waTZ walioko huko majuu kinapotea kupitia mianya ya rushwa iliyokita mizizi katika nchi hii.

Naomba waTZ wenzangu popote mlipo, tuangalie ni wapi tumepotea njia, turudi njia panda tuiendee njia sahihi kwa maendeleo ya Taifa letu. Sisi ndio wenye maamuzi ya mwisho kuhusu hatima ya TZ kama ni maendeleo au umaskini uliopitiliza.
 
swala si qualification yako issue ni je wanatuma? sijui wametumiaje au la sio tatizo tunaangalia pato la taifa kwa manufaa ya wote sio mmoja mmoja.
 
Sio kweli kwamba waTZ ni wachache sana huko Majuu na siyo kweli kwamba wengi wao sio professionals ambao kazi yao ni kubeba maboksi n.k. Shida kubwa kwa waTZ wengi (siyo wote) popote walipo wanakosa uzalendo kwa nchi yao. Wengi hawapendi kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa. Hata hao wafanyakazi waliopo bongo kama wangepewa mishahara yako ili wakalipe kodi wenyewe wengi wangefukuzwa kazi kwa kukosa uaminifu wa kulipa kodi kwa hiari. Mungu bariki kodi ya mishahahra hukatwa juu kwa juu!

Hata hivyo hata kile kinacholipwa na hawa waTZ walioko huko majuu kinapotea kupitia mianya ya rushwa iliyokita mizizi katika nchi hii.

Naomba waTZ wenzangu popote mlipo, tuangalie ni wapi tumepotea njia, turudi njia panda tuiendee njia sahihi kwa maendeleo ya Taifa letu. Sisi ndio wenye maamuzi ya mwisho kuhusu hatima ya TZ kama ni maendeleo au umaskini uliopitiliza.

How many Kenyans would you say live in the US, both legally and illegally? And how many would you say live in South Africa, once again, both legally and illegally?
Depending on which website you believe, there are anything from 100,000 to 500,000 Kenyans in the US. And between 5,000 and 100,000 Kenyans in South Africa.

Allafrica.com

Main article: African Immigration to the United States
Nigerian Americans are citizens of the United States of America who are or descend from immigrants from Nigeria. Since the late 1960s and early 1970s, approximately one million Nigerians have immigrated in to the United States.
Similar to their proportion of population on the continent of Africa, Nigerians are the single largest contemporary African immigrant group in the United States. Nigeria's official current indigenous population is 140 million. It is estimated that 20 million people of Nigerian descent reside outside Nigeria, with the majority living in the United Kingdom (see Nigerian British) and the United States.[SUP][citation needed]
Source:Weekipedia

It is estimated over 2.5 million Kenyans live abroad, and last year alone they sent $609 million (Sh45.7 billion) in remittances ranking them as the fourth biggest source of foreign exchange and contributor to growth of the national economy after horticulture, tea and tourism. This might explain why on the eve of every General Election, all presidential candidates trawl communities abroad for financial and moral support. But what do they get in return? The community abroad remains disenfranchised[/SUP]

Allafrica.com

Some 45,000 Tanzanian-born people are currently living abroad, the overwhealming majority of these reside in the United Kingdom (over 32,000), whilst thousands also live in Canada, the United States and various European nations

Weekipedia
 
Kuna njia moja ambayo ndio wengi wanaitumia. Unampa mtu huku pesa then ndugu yako anaambiwa akachukue hela dukani kwa mpemba bongo. Hiyo ndio watu wengi sana wanaitumia siku hizi tena rates ziko bomba mno kuliko sijui moneygram ama W-union

Nimepata wazo hapa, nakusudia kuanzisha sasa kituo cha kupokea fedha za kigeni Dar, nitakuwa tayari kupokea pesa za UK, Euro, Swiss Frank, na Dolla. Nitaanzisha vituo hivyo UK, Marekani Na Uswis. Kama mnakubaliana nami niko tayari ili kurahizisha kazi. Kwa kuanzia nitaanza na UK na USA. Itakuwa kwa mfumo wa electronic transfer ambayo mtu anapata within same day or next day. Anayetuma atalipia gharama fee na anayechukua ni kutia mfukoni tu.

Naomba wanaoniunga mkono kunipa moyo maana haya makampuni ya kibepari yanakatisha tamaa na gharama zao.

Thanks
 
............hamna pesa za kutuma kwenu nyumbani kwa ajili ya maendeleo na kusaidia ndugu zenu. Si mrudi basi Bongo?
Halafu wakirudi inakuwaje-tuje kunyanganyana haka kalikopo?Hapo ndio wahindi walipotuzidi,ukiomba visa ya kutoka nje ya India hata serikali inaweza kukusaidia ili mradi utoke tu,maana hiyo immediately unakuwa umeongeza soko la ajira India na kipato.

TZ ukitaka kutoka nje ya nchi hata kama unakwenda kuwa Dr.,mbeba box,kutibiwa etc kila mtu kuanzia kwa mjumbe wa nyumba 10,Immigration officers, airport security wanaanza kukuwekea vigingi na wivu i.e furaha yao ukae hapa hapa na ukione kilichokufanya uzaliwe TZ. Tuna kazi sisi!
Just imagine mtu una visa na kila kitu, mtu wa airport security -TZ anakuuliza kama una show money ya kuonyesha unapokwenda-aaaaaaaagh:dance:
 
Sio kwamba wabongo hatumi pesa nyumbani, bali ni wachache sana kulinganisha na hao majirani zetu. Wengi wetu tumeanza kutoka juzijuzu hapa wakati Ujamaa ulipoporomoka na globalisation kutuamsha usingizini.

Hao wenzetu, walikimbilia nje kutokana na matatizo ya kisiasa nchini mwao; Waganda tangu enzi za Iddi Amin, na Wakenya kipindi cha Mzee Moi. Wengi wetu kila tunapoenda; popote duniani, utakuta wakenya wapo, tena wengi; Wabongo ukibahatika mnakuwa wawili au watatu, mara nyingi unakuwa peke yako, hadi kulazimisha undugu kwa wakikuyu.
 
Kumbe tofauti ya kipato inatosha kabisa kuwagombanisha wa Tz?Angali Makundi hy 2 yalivyo tofauti kabisa kimawazo! MUNGU IBARIKI TANZANIANA WATU WAKE!
 
Sio kwamba wabongo hatumi pesa nyumbani, bali ni wachache sana kulinganisha na hao majirani zetu. Wengi wetu tumeanza kutoka juzijuzu hapa wakati Ujamaa ulipoporomoka na globalisation kutuamsha usingizini.

Hao wenzetu, walikimbilia nje kutokana na matatizo ya kisiasa nchini mwao; Waganda tangu enzi za Iddi Amin, na Wakenya kipindi cha Mzee Moi. Wengi wetu kila tunapoenda; popote duniani, utakuta wakenya wapo, tena wengi; Wabongo ukibahatika mnakuwa wawili au watatu, mara nyingi unakuwa peke yako, hadi kulazimisha undugu kwa wakikuyu.

Hili taifa jipya la Sudan Kusini walivyojaa nchini Marekani huwezi kuamini, wanatupita kwa idadi kubwa tu.
Wasomali ndo usiseme kuna sehemu utadhani upo Mogadishi si marekani, na hata kule Uk wameja tele tele.
Ila kitu kimoja Watanzania ugenini hawana umoja wanakuwa wameshajenga magorofa kabla hawajaweka mizizi. Mapato yake wengi bila kubadilika wanashtukia wanaendelea na kutunza magorofa ya kufikirika zaidi.

Kwa mfano tu, mataifa mengine kama waasia na waafrika wanakawaida ya umoja na hata kuamua kuoana wa asili moja ili wasaidiane kutunza kwa pamoja kidogo walicho nacho na hivyo ndivyo wenzetu wanavyofanikiwa. Lakini Watanzania utakuwa wasichana wanawabeza wabongo wenzao na kuchangamkia wazawa au wa mataifa mengine, na hali kadhalika wanaume hufanya viyvo. Matokeo yake wanapokuja gundua kwamba kwamba uzawa una umuhimu ni too late, na kama soko limeshafikia jioni unakuta kila mmoja anafunga mzigo wake.

Nawashauri watanzania wenzangu jitahidini kushikamana na kutooneana aibu maana kwetu kumoja, na kama wawili wakishikamana pamoja na hakika wanakuwa na malengo ya pamoja kuwekeza homeland. Vinginevyo mfilipino anaelekeza kwake, wa west afrika kwao, nk. Nimeshuhudia mkataa pema pabaya panamgoja.
 
Back
Top Bottom