Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,006
- 1,171
JE BIDHAA ZOTE ZINAZOAGIZWA NJE HAZIWEZI KUZALISHWA BAADHI NDANI YA NCHI NA IKAWA FURSA KWA WATANZANIA ?
Wakuu kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira na salary kutokukidhi kwa wale wenye ajira naona Ni vema tukashirikishana Kila Aina ya Fursa inayoonekana au kupatikana
Viongozi mada ya Leo tuangalie Fursa za kiuchumi na Kijasiriamali ambazo zinaweza kutokana na kuzalisha bidhaa ambazo zinaagizwa nje
Kanuni mojawapo na rahisi ya kuongeza na kukuza uchumi wa nchi ni kuongeza mauzo ya nje ( exports)na kupunguza uagizwaji wa bidhaa za nje
Kwa rekodi ya haraka bidhaa ambazo zimekuwa zikiagizwa nje
Oil Mineral fuels
Industrial machinery
Motor vehicles & parts
Iron &steel
Plastics
Electrical machinery
Pharmaceutical
Chemical products
Iron steel article s
**Fats and oils
Wheat
Rice
Palm oil
Dairy products
Kwa Leo ningependa tuanze kuangalia zaidi bidhaa za chakula ambazo ambazo kiuhalisia Kama watanzania ziko ndani ya uwezo wetu kwa Sasa
Kuna andiko moja liliandikwa linasema
Why food potential exporters still import food
Pia wakaeleza kwamba
Tanzania agricultural sector is sleeping giant
Tukiachana na mipango mingi ya serikali juu ya kilimo
Lakini naamini sisi Kama wananchi tunayo nafasi zetu Fursa kupitia sector binafsi kufanya Jambo
Nikianza na mfano wa ngano kuagizwa nje
Naamini Kuna maeneo mengi ambayo tunaweza kulima ndani ya nchi na tukachukua Fursa ya Hilo soko la nje na pengine kupunguza Bei ya bidhaa zinazotokana ngano
Huu ni mfano tu na Maoni yangu Ila Kila mmoja anaweza kutoa Maoni yake
Wakuu kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira na salary kutokukidhi kwa wale wenye ajira naona Ni vema tukashirikishana Kila Aina ya Fursa inayoonekana au kupatikana
Viongozi mada ya Leo tuangalie Fursa za kiuchumi na Kijasiriamali ambazo zinaweza kutokana na kuzalisha bidhaa ambazo zinaagizwa nje
Kanuni mojawapo na rahisi ya kuongeza na kukuza uchumi wa nchi ni kuongeza mauzo ya nje ( exports)na kupunguza uagizwaji wa bidhaa za nje
Kwa rekodi ya haraka bidhaa ambazo zimekuwa zikiagizwa nje
Oil Mineral fuels
Industrial machinery
Motor vehicles & parts
Iron &steel
Plastics
Electrical machinery
Pharmaceutical
Chemical products
Iron steel article s
**Fats and oils
Wheat
Rice
Palm oil
Dairy products
Kwa Leo ningependa tuanze kuangalia zaidi bidhaa za chakula ambazo ambazo kiuhalisia Kama watanzania ziko ndani ya uwezo wetu kwa Sasa
Kuna andiko moja liliandikwa linasema
Why food potential exporters still import food
Pia wakaeleza kwamba
Tanzania agricultural sector is sleeping giant
Tukiachana na mipango mingi ya serikali juu ya kilimo
Lakini naamini sisi Kama wananchi tunayo nafasi zetu Fursa kupitia sector binafsi kufanya Jambo
Nikianza na mfano wa ngano kuagizwa nje
Naamini Kuna maeneo mengi ambayo tunaweza kulima ndani ya nchi na tukachukua Fursa ya Hilo soko la nje na pengine kupunguza Bei ya bidhaa zinazotokana ngano
Huu ni mfano tu na Maoni yangu Ila Kila mmoja anaweza kutoa Maoni yake