Je, Wasiojulikana kuendelea kuwepo au tusahau?

Youngblood

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
18,958
55,051
Wakuu kwa awamu hii ya mama na jinsi alivyoanza je kuna dalili yoyote ya lile genge la wale wahuni maarufu "wasiojulikana" kutokomea kusikojulikana awamu hii ya sita?

Au mambo yataendelea vilevile kama yalivyokuwa awamu ya Tano,ama hali ndio itakuwa mbaya zaidi?

Nini mtazamo wako?

Mungu mbariki Mama,Mungu ibariki Tanzania.

Moderator tabaia ya kuunganisha nyuzi acheni bana mnaboa.
YOUNGBLOOD
 
Wakuu kwa awamu hii ya mama na jinsi alivyoanza je kuna dalili yoyote ya lile genge la wale wahuni maarufu "wasiojulikana" kutokomea kusikojulikana awamu hii ya sita.

Au mambo yataendelea kama yalivyokuwa awamu ya Tano?

Nini mtazamo wako?

Mungu mbariki Mama,Mungu ibariki Tanzania.

YOUNGBLOOD
Hawo wanaodaiwa hawajulikani actually wanajulikana. Dereva wake Mhe tundulissu aliwaona mchakweupe wakati wakimkosakosa tundulissu akaumia mguu wa kulia ingawa risasi zilitokea kushoto. Hata tundulissu mwenyewe atakuwa aliwaona, indeed anawafahamu hadi rangi na namba za gari lao tundulissu alisema hazarani kwa IGP awazuie "kumfuatafuata"
 
Wataendelea kuwepo, maana hakuna awamu ambayo hawakupata kutokuwepo. Walifahamika zaidi awamu iliyopita kwa sababu walifanya matukio mengi sana kuliko awamu zote zilizopita.
Unadhani ni kwanini awamu iliyopita walifanya matukio mengi kuliko awamu nyingine zote
 
Wakuu kwa awamu hii ya mama na jinsi alivyoanza je kuna dalili yoyote ya lile genge la wale wahuni maarufu "wasiojulikana" kutokomea kusikojulikana awamu hii ya sita.

Au mambo yataendelea kama yalivyokuwa awamu ya Tano?

Nini mtazamo wako?

Mungu mbariki Mama,Mungu ibariki Tanzania.

YOUNGBLOOD
Kama utaendelea na mambo yako ya kifisadi na kuuza madawa ya kulevya na wao wanaendelea kukushughulikia dada! Wapo mpaka mwisho wa dunia.
 
Unadhani ni kwanini awamu iliyopita walifanya matukio mengi kuliko awamu nyingine zote
Inaonekana kulikuwa na agizo kutoka "mamlaka kuu" katika kujilinda.

Awamu zilizopita walikuwa wanafanya matukio kuilinda "mamlaka kuu" huenda hata mamlaka ya juu haijui.
 
Wakuu kwa awamu hii ya mama na jinsi alivyoanza je kuna dalili yoyote ya lile genge la wale wahuni maarufu "wasiojulikana" kutokomea kusikojulikana awamu hii ya sita?

Au mambo yataendelea vilevile kama yalivyokuwa awamu ya Tano au kuongezeka zaidi?

Nini mtazamo wako?

Mungu mbariki Mama,Mungu ibariki Tanzania.

YOUNGBLOOD
Waliomuua mwandishi wa ITV washapatikana?
Kama bado nina wasi wasi na wasiojulikana kuwa bado wakingaliko!
 
Hawo wanaodaiwa hawajulikani actually wanajulikana. Dereva wake Mhe tundulissu aliwaona mchakweupe wakati wakimkosakosa tundulissu akaumia mguu wa kulia ingawa risasi zilitokea kushoto. Hata tundulissu mwenyewe atakuwa aliwaona, indeed anawafahamu hadi rangi na namba za gari lao tundulissu alisema hazarani kwa IGP awazuie "kumfuatafuata"
Pamoja na maelezo mazuri ila bado hujajibu swali mkuu,je hali itakuwaje?
 
Mwenyekiti wa wasiojulikana hayupo, ngoja tuone...
Kila chenye mwanzo kina mwisho itakuwa umefikia mwisho wao,miaka mitano ilionekana kama Mia tano,familia ngapi zilipoteza nduguzao, ama kweli Mungu ana subra,ukitembea kwenye mgongo wa ardhi unaweza fanya utakalo na watu wakakusifia ila ikosiku laizima tukakutane na muumba,so kikowapi dunia Ile bado inaebdelea waliokuwa wakimsifia wanamlaumu,
 
Back
Top Bottom