Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 51,967
- 41,449
Mwenyekiti wa wasiojulikana hayupo, ngoja tuone...
Walio muua mwandishi wa ITV unawajua?
CCM mbele kwa mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti wa wasiojulikana hayupo, ngoja tuone...
Wakuu kwa awamu hii ya mama na jinsi alivyoanza je kuna dalili yoyote ya lile genge la wale wahuni maarufu "wasiojulikana" kutokomea kusikojulikana awamu hii ya sita?
Au mambo yataendelea vilevile kama yalivyokuwa awamu ya Tano,ama hali ndio itakuwa mbaya zaidi?
Nini mtazamo wako?
Mungu mbariki Mama,Mungu ibariki Tanzania.
Moderator tabaia ya kuunganisha nyuzi acheni bana mnaboa.
YOUNGBLOOD
Manufaa mapana ya taifa kama yapi?Hap watu lazima waendelee kuwepo kwa manufaa mapana ya Taifa mama Tanzania
CCM mbele kwa mbele
Best karibu sana jpili tule tunywe hadi tusaze, yani tusherehekee "kufa" na "kufufuka" 😁😁Walio muua mwandishi wa ITV unawajua?
CCM mbele kwa mbele
Sherehe si nasikia zimepigwa marufukuBest karibu sana jpili tule tunywe hadi tusaze, yani tusherehekee "kufa" na "kufufuka"
Zimeruhusiwa, kwahiyo ni sherehe ya "kufa" na "kufufuka" yani pasaka kama pasaka.Sherehe si nasikia zimepigwa marufuku
Hugo dereva aliishawahi kumtaja Hata mmoja?Hawo wanaodaiwa hawajulikani actually wanajulikana. Dereva wake Mhe tundulissu aliwaona mchakweupe wakati wakimkosakosa tundulissu akaumia mguu wa kulia ingawa risasi zilitokea kushoto. Hata tundulissu mwenyewe atakuwa aliwaona, indeed anawafahamu hadi rangi na namba za gari lao tundulissu alisema hazarani kwa IGP awazuie "kumfuatafuata"
Itaishaje ilihali mfadhili na mpanga mipango kakabidhiwa kulisimamia fuko la manoti! Jiandaeni kupiga selfie beach mkiwa ndani ya viroba!Wakuu kwa awamu hii ya mama na jinsi alivyoanza je kuna dalili yoyote ya lile genge la wale wahuni maarufu "wasiojulikana" kutokomea kusikojulikana awamu hii ya sita?
Au mambo yataendelea vilevile kama yalivyokuwa awamu ya Tano,ama hali ndio itakuwa mbaya zaidi?
Nini mtazamo wako?
Mungu mbariki Mama,Mungu ibariki Tanzania.
Moderator tabaia ya kuunganisha nyuzi acheni bana mnaboa.
YOUNGBLOOD
Wakuu kwa awamu hii ya mama na jinsi alivyoanza je kuna dalili yoyote ya lile genge la wale wahuni maarufu "wasiojulikana" kutokomea kusikojulikana awamu hii ya sita?
Au mambo yataendelea vilevile kama yalivyokuwa awamu ya Tano,ama hali ndio itakuwa mbaya zaidi?
Nini mtazamo wako?
Mungu mbariki Mama,Mungu ibariki Tanzania.
Moderator tabaia ya kuunganisha nyuzi acheni bana mnaboa.
YOUNGBLOOD
Anasikilizia kama kikihitajika aanze kuua kama kawaida yake.Sasa atakinoa kwa kazi gani kama mama akisema hakitaki
Mama kawakataa, kawatupilia mbali wote, wamekuwa wadogo kama piritonWakuu kwa awamu hii ya mama na jinsi alivyoanza je kuna dalili yoyote ya lile genge la wale wahuni maarufu "wasiojulikana" kutokomea kusikojulikana awamu hii ya sita?
Au mambo yataendelea vilevile kama yalivyokuwa awamu ya Tano,ama hali ndio itakuwa mbaya zaidi?
Nini mtazamo wako?
Mungu mbariki Mama,Mungu ibariki Tanzania.
Moderator tabaia ya kuunganisha nyuzi acheni bana mnaboa.
YOUNGBLOOD
Kama umeshakubali kumbe wanajulikana, walionwa mchana kweupe na walau watu wawili dereva na tundulissu, na wote wako hai. Lililobaki ni waende kituo cha polisi kilicho karibu wawataje majina yao. Kama hawana hakika, Kuna kitengo cha sanaa CID kitatoa michoro ya hao majambazi: wanene, wafupi, ndevu, sharubu, ke au me, kibiongo, makengeza, mweusi, mweupe, nk kadiri ya kumbukumhuku ya witness wetu watakavyoeleza, halafu picha 1 itarushwa magazetini ikisema "wanted, dead or alive, zawadi nono kutolewa". Raia wema watachangamkia tenda watawakamata dead or alive.Pamoja na maelezo mazuri ila bado hujajibu swali mkuu,je hali itakuwaje?
Kwenye utawala huu makonda hana nafasiAnasikilizia kama kikihitajika aanze kuua kama kawaida yake.
AiseeeItaishaje ilihali mfadhili na mpanga mipango kakabidhiwa kulisimamia fuko la manoti! Jiandaeni kupiga selfie beach mkiwa ndani ya viroba!
Naunga mkono hoja,kwa aina ya 'uongozi' wa awamu ya sita huyu gaidi alinde mtaji wake alioupata kwa ku blackmail matajiri, siasa imeshamtupa mkono.Kwenye utawala huu makonda hana nafasi
Uamsho hawahusiki kabisaKwa awakua huwamsho wale? Wasopaswa kujulikana?