Asante kwa ushauri ila picha nyingi sana natumiwa labda niwaombe wanaonitumia wafanye hivyo🙏🏿🙏🏿🙏🏿Ni wakati sasa mshana jr uanze kuaacknowlegde kazi za watu kwa kuweka source ya sehemu ulipotoa hiyo tarifa! Sio kwamba ninakuzodoa, hapana, lakini kumbuka kuweka source ya taarifa kuliko kujifanya mtungaji! Nashauri tu! Kama vip puuzia.