figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,720
- 62,856
Habari za hapa wakuu.
Nimekaa nikatafakari sana bila majibu, Kuna wanawake unakutana nao unawasalimia hawajibu hata unapomtongoza hasomeki kabisa yaani ana majibu ya utata. Ukimsemesha anakuwa mkali kweli kweli. Hata namba ya simu hatoi akitoa kwa masharti hata ukipata namba yake ukipiga hapokei akipokea anaonge kwa mkato na nyodo. Watu wanasema kuwa wanawake wa hivi ni watulivu sana na wakiolewa wanatulia ndani ya ndoa na hawagawi hovyo hovyo hivyo wanafaa kuolewa. Je haya maneno yana ukweli wowote?.
Mwingine unakuta mtu wa watu kila anapopita anatoa tano, unakuta mtu wa kusikiliza kwa makini na muelewa. Mara nyingi utakuta marafiki zake ni wanaume. Hata mnapopadilishana namba za sibu hasubiri upige bali yeye mwenyewe atakupigia muda wowote ule. Huyu naye unakuta wanamuita kicheche yaani hajatulia kwamba anagawa sana Mapenzi eti hata kwenye ndoa hawatulii.. Je hii inaukweli wowote?
Kuna wimbo wa mwanaFA aliimba kwamba 'demu unajifanya mgumu, ukimpata unajiona umepata kumbe ndo umejihukumu' Nikifikiria hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa.
Naomba Mawazo wako. Je hiki kinaweza kuwa kigezo cha kupenda? Wewe unamaoni gani? mia
Nimekaa nikatafakari sana bila majibu, Kuna wanawake unakutana nao unawasalimia hawajibu hata unapomtongoza hasomeki kabisa yaani ana majibu ya utata. Ukimsemesha anakuwa mkali kweli kweli. Hata namba ya simu hatoi akitoa kwa masharti hata ukipata namba yake ukipiga hapokei akipokea anaonge kwa mkato na nyodo. Watu wanasema kuwa wanawake wa hivi ni watulivu sana na wakiolewa wanatulia ndani ya ndoa na hawagawi hovyo hovyo hivyo wanafaa kuolewa. Je haya maneno yana ukweli wowote?.
Mwingine unakuta mtu wa watu kila anapopita anatoa tano, unakuta mtu wa kusikiliza kwa makini na muelewa. Mara nyingi utakuta marafiki zake ni wanaume. Hata mnapopadilishana namba za sibu hasubiri upige bali yeye mwenyewe atakupigia muda wowote ule. Huyu naye unakuta wanamuita kicheche yaani hajatulia kwamba anagawa sana Mapenzi eti hata kwenye ndoa hawatulii.. Je hii inaukweli wowote?
Kuna wimbo wa mwanaFA aliimba kwamba 'demu unajifanya mgumu, ukimpata unajiona umepata kumbe ndo umejihukumu' Nikifikiria hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa.
Naomba Mawazo wako. Je hiki kinaweza kuwa kigezo cha kupenda? Wewe unamaoni gani? mia