Je wanawake wakimya na wapole hawana mambo mengi?

Je wanawake wakimya na wapole hawana mambo mengi?

mambo mengi ni nini?

wakimya ni aje?

wapole ni aje?
 
Hakuna mwanamke asiyelika..........

kama unampango wa kuoa wewe jilipue tu , huwezi kumchunguza kuku namna hiyo...... hutamla yakhe.
Mbona hukunipa feedback? jamaa mumeonana naye? biashara imefayika au?. mia

NB: kuja PM nimeona kelo halafu simu zako haziiti.
 
watu mnachanganya mambo kuna wapole waliotulia na vicheche,kuna wasela waliotulia na mapepe inategemea umeangukia wapi.Umefikia vigezo na masharti kwanini usipewe khaa kwani kinacholiwa ni upole au papuchi?
 
me nakutakia tu utafiti mwema cos me bado ni mtoto sana kwenye hayo mambo.
 
kuna wengine sio wapole wala wakimya ila ni wagumu kuzoeleka cha kushangaza na wenyewe wanawekwa kundi la wapole loh mie kwenye masuala ya kujistarehesha tuvumiliane tu kwa sababu mtu tunaemilikiana ndo anajua kinachoendelea,ila mengine ni story za vijiweni tu.
 
Ugawaji wa papuchi hovyo hovyo hauna uhusiano wowote ule na ukimya au u mapepe wa mtu..!
 
inategemea hapa hakuna formula kuna wengne wapole na wapole kweli hawana shida. Kuna wengne ni wapole lakn wabaya sana. Binadamu ni too complex
 
Mapepe ndio mpango mzima... make anakuwa mapepe mdomoni lakini humvui ng'o!

Kuna mkaka flan best yangu sana, sasa akakutana na mdada mapepe balaa nusura ya mkosi.

Jamaa akaona kapata mlupo, si akaanza kurusha mistari. Mdada akamwambia wala huna haja ya kuzunguka we sema lini tukabanjuane.
Weee mkaka hakujaribu tena ikabaki mdada ndio anamuuliza lini bana! Kumbe mdada hakuwa hata na wazo la kutoka na yule kaka.... Mwisho wa siku wakabaki mabest tu

Be careful, wale wakimya na wapole ni hatari make wanavulia kama samaki!

huyo naye alikuwa muoga tu ,,,,,,,,
 
wapole wengi wanaudhaifu ndani yao, wanaogopa wakikupa chansi ya kuongea nao sana watakubali haraka

hawa wenye fujo wengi wagumu kuwaingia ukileta hizi yeye analeta zile

Asikwambie mtu hakuna mtu Safi Kama huyo anaegawa namba hovyo! Wengine kumtongoza ufanye kazi maana maneno mengi kwahiyo hadi kumpata ujipange kweli!
 
mahondaw wangu ni mpole na hana makubwa ni mkarimu na mwelewa vilevile ana heshima sana...really she makes my heart bampbamp..
 
mademu wapole ni noma kwelikweli.....wengi wao huwa hawajui kukataa....wanagongwa si mchezo yaani nina uzoefu wa haja...ila wale mapepe watakupa mpaka stori unazotaka kuwapa/kuwatongoza..mwisho mnabaki kuwa washkaji
 
Upole unaweza tokana na manyanyaso huko anapoishi (ukandamizwaji) au personality tu ya mtu...

Inaweza ikawa na effect kwenye mautundu (sababu ya aibu na kutokuwa na confidence) au isiwe nayo....

Ila nakataa kuwa wapole wanaficha makucha...ku pretend ni kazi mjue...mapepe utamjua tu...

Na mople kuwa mama huruma ni very rare ndio maana ikitokea inakuwa gumzo...kwa sababu hakuna anayetegemea hilo...
 
Back
Top Bottom