Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,566
- 2,944
Ni jambo la kushangaza wanafunzi kufanyishwa kazi za kubeba magogo na kuchoma mkaa kwa ajili ya waalimu wao.
Lugufu girls high school iko Wilaya Uvinza na kabla ya shule hii kuanzishwa ilikuwa ni makambi ya wakimbizi.
Shule hii iko porini sana na ili ufike ukitokea Uvinza mjini kielekea Kigoma mjini utashuka Lugufu polisi na ndipo uchukue boda boda ya sh 5000 hadi 7000 kuelekea Lugufu high schools ambazo kuna ya wasichana pekee na wavulana pekee zikiwa jirani kabisa.
Shule hii mkuu wake ni mwanamke katili na asiyemuelewa kabisa.
Jambo baya ni aina mkuu wa shule mpenda pesa kupindukia, huwafanyia wanafunzi biashara ya chakula na maziwa. Huangalia wazazi wenye uwezo na kuanza kukisha watoto wao kwa kulipia bills kwa mwezi.
Mwanafunzi akishindwa kulipa bills zake hatoruhusiwa kwenda likizo hadi wazazi watume pesa, hii sijui imekaaje.
Jambo la pili hupewa kiasi kidogo na waalimu na kuwaruhusu wasichana wadogo wa f5 na 6 kwenda kubeba magogo porini kwa ajili ya kuchoma mkaa wa waalimu. Kutokana na tabia hii watoto hufeli sana mitihani yao ya terms.
Kwa tabia hii wazazi wengi wamehamisha watoto wao sana.
Mfano watoto wa tahasusi ilikuwa na wanafunzi zaidi ya 73 wamehama na kubaki 11 tu.
Kwa hali hii hawatendei haki watoto, wazazi na taifa. Mimi nilikuwa na binti yangu pale na alikuwa na matokeo mabovu mno kila mtihali alipata div. 4, nimemhamidha shule nyingine kwasasa anapata div one kuanzia ya 4 hadi 6.
Waziri wa elimu tumia wakaguzi wa elimu kunisuru shule hii.
Lugufu girls high school iko Wilaya Uvinza na kabla ya shule hii kuanzishwa ilikuwa ni makambi ya wakimbizi.
Shule hii iko porini sana na ili ufike ukitokea Uvinza mjini kielekea Kigoma mjini utashuka Lugufu polisi na ndipo uchukue boda boda ya sh 5000 hadi 7000 kuelekea Lugufu high schools ambazo kuna ya wasichana pekee na wavulana pekee zikiwa jirani kabisa.
Shule hii mkuu wake ni mwanamke katili na asiyemuelewa kabisa.
Jambo baya ni aina mkuu wa shule mpenda pesa kupindukia, huwafanyia wanafunzi biashara ya chakula na maziwa. Huangalia wazazi wenye uwezo na kuanza kukisha watoto wao kwa kulipia bills kwa mwezi.
Mwanafunzi akishindwa kulipa bills zake hatoruhusiwa kwenda likizo hadi wazazi watume pesa, hii sijui imekaaje.
Jambo la pili hupewa kiasi kidogo na waalimu na kuwaruhusu wasichana wadogo wa f5 na 6 kwenda kubeba magogo porini kwa ajili ya kuchoma mkaa wa waalimu. Kutokana na tabia hii watoto hufeli sana mitihani yao ya terms.
Kwa tabia hii wazazi wengi wamehamisha watoto wao sana.
Mfano watoto wa tahasusi ilikuwa na wanafunzi zaidi ya 73 wamehama na kubaki 11 tu.
Kwa hali hii hawatendei haki watoto, wazazi na taifa. Mimi nilikuwa na binti yangu pale na alikuwa na matokeo mabovu mno kila mtihali alipata div. 4, nimemhamidha shule nyingine kwasasa anapata div one kuanzia ya 4 hadi 6.
Waziri wa elimu tumia wakaguzi wa elimu kunisuru shule hii.