Je wanadamu tuna FREE WILL??



!
!
Free will ..... Fate....Dedtiny
 
Kama unafuata Sheria za nchi.... Huna maamuzi huru
 
karibu mshana,sikutegemea ungekuja na jibu zuri,fupi,na la kueleweka..so IMANI ndio ina hathiri free will
 
Reactions: rbt
katika amri za mungu ya pili anasema "nami nawaptiliza wana na maovu ya Baba zao,hata kizazi cha tatu na cha nne wanichukiao...so kama mzee Wako alikosa,,utahukumiwa hadi wewe..
Mkuu ni vyema ungemalizia huo mstari maana umeutamka nusu tu.

Nusu iliyobaki yasema "nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kushika amri zangu"
Hivyo kama wewe utachagua kumtii Muumba basi haijalishi kama Babu zako walikuwa waovu uovu wao hautapitilizwa kwako.
 
Uhuru wa kuchagua upo ndio maana sisi tuko dhambini maana Wazazi wetu Adam na Hawa walichagua kuasi sheria ya Mungu, isingelikuwa hivyo basi dhambi isngeweza kuwepo maana viumbe vyote vingemtii Mungu bila ridhaa yao yoyote.
 
Uhuru wa kuchagua upo ndio maana sisi tuko dhambini maana Wazazi wetu Adam na Hawa walichagua kuasi sheria ya Mungu, isingelikuwa hivyo basi dhambi isngeweza kuwepo maana viumbe vyote vingemtii Mungu bila ridhaa yao yoyote.
Mi nadhani kuwa ni mipango endelevu ilishapangwa before! Adam kuasi tu hapo hapo ikaja kitu kurithi dhambi ya asili! Wakati hata hakuwahi ambiwa kama ukifanya kosa utarithisha vizazi!

..ipo kama ipo lakini hatuna matumizi nayo....
Kuanzia kwenye dini..tawala... Mifumo yote ....
...uhuru wa bendera!
 
Kosa lilifanyik kizazi cha ADM...alkn Mbona adhabu zinaendelea hadi Leo?
kama unasoma bible vizuri,sisi hatuna adhabu tena,Yesu katuokoa,,Kuna mstari unasema kwaajili ya mtu mmoja ulimwengu wote,umetenda dhambi,na kwa mtu mmoja wote tumeokolewa
 
kama unasoma bible vizuri,sisi hatuna adhabu tena,Yesu katuokoa,,Kuna mstari unasema kwaajili ya mtu mmoja ulimwengu wote,umetenda dhambi,na kwa mtu mmoja wote tumeokolewa
Adhabu alizopewa adam na hawa juu ya uasi wao zimeisha?
Kula kwa taabu
Kuzaa kwa uchungu
Kifo....na mengine....
 
Adhabu alizopewa adam na hawa juu ya uasi wao zimeisha?
Kula kwa taabu
Kuzaa kwa uchungu
Kifo....na mengine....
swali zuri,sijajua nikujibu kwa mujibu WA bible inavyofundisha ama laaah..coz mambo hayo kama yamenipitia kushoto
 
Kuna mahali nlisoma kwenye maandiko panasema
MUNGU ALIUMBA KILA JAMBO KWA MAKUSUDI YAKE HATA WABAYA KWA SIKU YA UBAYA
Thank God kuna neema ya toba na Mungu ni Mungu wa huruma
 
Adhabu alizopewa adam na hawa juu ya uasi wao zimeisha?
Kula kwa taabu
Kuzaa kwa uchungu
Kifo....na mengine....
Zimeisha ukisimama kwenye mstari wako wala huwezi kuzitumikia izo adhabu...
 
swali zuri,sijajua nikujibu kwa mujibu WA bible inavyofundisha ama laaah..coz mambo hayo kama yamenipitia kushoto
Hahahaha ukizungumzia dini hapo tayari Uhuru ushautoa
 
Kuna mahali nlisoma kwenye maandiko panasema
MUNGU ALIUMBA KILA JAMBO KWA MAKUSUDI YAKE HATA WABAYA KWA SIKU YA UBAYA
Thank God kuna neema ya toba na Mungu ni Mungu wa huruma
Kwann kuumba wabaya?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…