Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,924
- 6,010
Yes, anajua kuwa wewe ni wa motoni au mbinguni lakini haiondoi dhana kuwa Yeye hana cha kupoteza.Nataka kujua kwaiyo Mungu kaniumba ila anajua Mimi wa Motoni au mbinguni.maana anasema nakujua kabla sijakuumbeni.
Loser au winner ni wewe binadamu ambaye umepewa Practice Standards (Sheria 10 za Mungu) aidha uzifuate au uzipige chini kadiri free will yako itakavyokutuma ufanye.