Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Wakulungwa na wajuba salaam!
Ingawa hajatangaza hadharani nia yake ya kugombea ubunge wa Arusha mjini, pengine hana hiyo nia ama anayo anaogopa kuambiwa ameanza kampeni mapema.
Ikizingatiwa kuwa kipyenga cha ubunge CCM hakijapulizwa, kama Mwanasheria Msomi Albert Msando akitangaza nia ya kugombea ubunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya CCM ashindane na Godbless Lema vipi atafaa? Ataweza kumshinda Lema?
Hivi karibuni amekuwa akionesha ishara fulani hivi kama vile anautaka ubunge hivi, mfano hivi karibuni amekuwa akitoa misaada mbalimbali e.g msaada wake wa barakoa kwa wanahabari Arusha, pia amekuwa akipost negative kuhusu Lema na CHADEMA e.g juzi hapa alisambaza clip akidai ni ya Lema akimsimanga Lissu.
NB: Sijahitimisha kuwa atagombea ila mfano akagombea na akapitishwa na CCM na hata baadaye kuchaguliwa kuwa mbunge wa Arusha mjini vipi atafaaa?
Ingawa hajatangaza hadharani nia yake ya kugombea ubunge wa Arusha mjini, pengine hana hiyo nia ama anayo anaogopa kuambiwa ameanza kampeni mapema.
Ikizingatiwa kuwa kipyenga cha ubunge CCM hakijapulizwa, kama Mwanasheria Msomi Albert Msando akitangaza nia ya kugombea ubunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya CCM ashindane na Godbless Lema vipi atafaa? Ataweza kumshinda Lema?
Hivi karibuni amekuwa akionesha ishara fulani hivi kama vile anautaka ubunge hivi, mfano hivi karibuni amekuwa akitoa misaada mbalimbali e.g msaada wake wa barakoa kwa wanahabari Arusha, pia amekuwa akipost negative kuhusu Lema na CHADEMA e.g juzi hapa alisambaza clip akidai ni ya Lema akimsimanga Lissu.
NB: Sijahitimisha kuwa atagombea ila mfano akagombea na akapitishwa na CCM na hata baadaye kuchaguliwa kuwa mbunge wa Arusha mjini vipi atafaaa?