HahahaaaAende akagombee Ilala na sio chuga yetu
Hivi Bunge LA Tanzania kazi yake hasa ni IPI?Mbona naona watu wasiostahili nao wanautaka ubunge?Kule Tandahimba twenzetu na Harmonize..Igunga na Shishi baby
Bora huyo alinawa, kuna mwingine tena asikofu alipiga uno la hatari hadi akafika Kibo naye anaomba ubunge, maajabu haya yako CCM tu.Mshika papa naye anagombea kumbe.
Mtera tunaye AmbarutyKule Tandahimba twenzetu na Harmonize..Igunga na Shishi baby
Ha haaa Madame wowowo herselfMtera tunaye Ambaruty
Nahisi kazi ya ubunge ni kazi rahisi kuliko zote yenye mshahara mnono. Kikubwa ujue kusoma na kuandika.Hivi Bunge LA Tanzania kazi yake hasa ni IPI?Mbona naona watu wasiostahili nao wanautaka ubunge?
Wengi wanaoonekana ni wasanii sanii wanapitia uchochoro wa wanaofahamu kusoma,kuandika na kuhesabu(KKK) kwa tiketi ya Kijani/njano?
Tatizo ni Fundi, unamsikilizaje mteja wako wakati hana ujuzi wa ushinaji!! Afu shemeji naye si angemkatalia jamaa kutoka nalo?!!Hivi inakuwaje mtu mwenye akili timamu mpaka unafikia hatua ya kushona shati kama hilo?
mnajitambua au washamba wachangamfu.Sisi watu wa R chuga tunajitambua hatumtaki huyu fa.la(msela mavi)
Watu wanaotakiwa kutunga sheria,kuisimamia serikali na kuwawakilisha Wananchi wawe Form Four Leaver?Hata bila mafunzo ya aina yoyote? Kama hata Mtendaji wa Kijiji tu anatakiwa kuwa na mafunzo ya uongozi,iweje mbunge sifa zake ni kufahamu kusoma na kuandika?Nahisi kazi ya ubunge ni kazi rahisi kuliko zote yenye mshahara mnono. Kikubwa ujue kusoma na kuandika.
Mimi naona wangeongeza kiwango cha Elimu angalau iwe form four.
Hayo matusi ndiyo yanawafanya tuwashangae zaidi,unawezaje kumtukana mwajiri wako wakati wa kuomba kazi(uchaguzi)?mnajitambua au washamba wachangamfu.
Hayo matusi ndiyo yanawafanya tuwashangae zaidi,unawezaje kumtukana mwajiri wako wakati wa kuomba kazi(uchaguzi)?
Hali hiyo inatufanya waungwana tuamini kuwa hamtegemei kura zetu,MNA mbinu mbadala vinginevyo msingethubutu kuwatusi wapiga kura tarajiwa katika Mwaka wa uchaguzi?
SOMA ALICHOANDIKA HUYU NILIYE MJIBU NDIO UTAJUA NANI KATUKANA