donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
JE WAJUA? Kiatu chako kinaweza kukuambia umri wako:-
1: Andika namba ya kiatu chako.
2: Zidisha kwa5.
3: Jumlisha 50
4: Zidisha kwa 20
5: Jumlisha 1013
6: Toa mwaka uliozaliwa...
7: Namba mbili za mwanzo ni saizi ya kiatu na namba mbili za mwisho ni miaka yako.
1: Andika namba ya kiatu chako.
2: Zidisha kwa5.
3: Jumlisha 50
4: Zidisha kwa 20
5: Jumlisha 1013
6: Toa mwaka uliozaliwa...
7: Namba mbili za mwanzo ni saizi ya kiatu na namba mbili za mwisho ni miaka yako.