Je wajua
1.Sehemu za siri za mwanamke kwa ndani kuna bacteria maalum kulinda hizo sehemu ajabu dada zetu wanatumia dettol na Sabuni kujisafisha na ndio chanzo cha cancer
2.Dunia toka imeguke kutoka kwenye jua ule mwanga uliotokea mpaka leo unasafiri haujamaliza ulimwengu "universe''
3.Ukikosa usingizi siku saba unakufa.
4.Ulimi wa kinyonga ni mrefu kuliko mwili wake.
5.Kushinda njaa ni hatari kwa afya yako lakini kufunga kuna faida kiafya.
6.Wanasiasa duniani ni mafundi wa kuahidi kufanya jambo wakati wa kuomba kura.Hapo hapo ni mafundi wazuri kuelezea kwanini halikufanyika uchaguzi mwingine ukifika.
7.Tanzania ni nchi pekee Africa ambayo haina ukabila na watu wake hawaulizani makabila yao kwenye shughuli zao ila ni vijembe tu vya matani wanapigana hasa kwenye ulingo wa kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je wajua chakula hakina ladha mpaka kichanganyike na mate?

Je wajua ni North Korea na Cuba tu ndio huwezi kununua Coca Cola?

Na hili ndio jina refu duniani la mji mmoja huko Australia
Inataka pumzi kulitamka maana kuna wengine simple names hawawezi kutamka
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Je wajua nchini INDIA kuna watoto MAPACHA, kwa jina CORONA na COVID.

WAZAZI wa MAPACHA hao wamependelea kuwachagulia MAJINA hayo kwasababu MAPACHA hao (wa KIKE na wa KIUME) walizaliwa Siku hizi za karibuni tukiwa kwenye janga hili la gonjwa la MLIPUKO
 
Kwanza kabisa ningependa kuwapa salamu zangu wadau wote wa jukwaa hili maridhawa, lakini pia kama mtanzania ninayeipenda nchi yangu ningependa kutoa pole kwa wale wote waliokumbwa na janga hili la covid 19 maarufu kama corona, na pia nipende tu kuwakumbusha watanzania wenzangu tuchukue tahadhari zote kwa kufuata ushauri tunaoambiwa na wataalamu ili kupunguza maambukizi au kuhutokomeza kabisa ugonjwa huu.

Naomba nijikite katika mada ambayo imenifanya niandike uzi huu, kutokana na ukweli usiopingika ya kua katika mifumo yetu ya elimu hususani kwetu sisi watu weusi kumekua na mambo mengi ambayo atufundishwi darasani na hii inatokana na ukweli kua mfumo mzima wa elimu yetu bado una elementi nyingi za kikoloni, hivyo kupelekea bahadhi ya mambo yanayotuhusu sisi wenyewe kutofundiswa darasani.

Leo ningependa kuelezea bahadhi ya vitu vilivyogunduliwa au kubuniwa na watu weusi lakini sijui ni kwa bahati mbaya au ni makusudi vitu hivi avifundishwi darasani.

1. Taa zinazotumika kuogozea magari barabarani, maarufu kama traffic light taa hizi zilibuniwa na mmarekani mweusi Garrett Augstus Morgan mwaka 1923

2.mfumo wa kiulinzi majumbani maarufu kama home security system pia aliyebuni mfumo huu ni mtu mweusi anaitwa Marie Brown 1966 huyu alikua ni mwanamke lakini pia alikua nesi

3. Saa ya kwanza kutumika pia ilibuniwa na mtu mweusi anaitwa Benjamin mwaka 1752

4. Mashine ya kukatia majani maarufu kama lawn mower ilibuniwa na mtu mweusi ambeye anaitwa John Albert Burr mwaka 1899

Najua kuna vitu vingi sana vimebuniwa na watu weusi ambavyo tumekua hatufundishwi darasani leo nimekuja na hivyo vitu vinne, kama kuna mdau anajua vitu vingine anaweza kuongezea.
 
Kwanza kabisa ningependa kuwapa salamu zangu wadau wote wa jukwaa hili maridhawa, lakini pia kama mtanzania ninayeipenda nchi yangu ningependa kutoa pole kwa wale wote waliokumbwa na janga hili la covid 19 maarufu kama corona, na pia nipende tu kuwakumbusha watanzania wenzangu tuchukue tahadhari zote kwa kufuata ushauri tunaoambiwa na wataalamu ili kupunguza maambukizi au kuhutokomeza kabisa ugonjwa huu.

Naomba nijikite katika mada ambayo imenifanya niandike uzi huu, kutokana na ukweli usiopingika ya kua katika mifumo yetu ya elimu hususani kwetu sisi watu weusi kumekua na mambo mengi ambayo atufundishwi darasani na hii inatokana na ukweli kua mfumo mzima wa elimu yetu bado una elementi nyingi za kikoloni, hivyo kupelekea bahadhi ya mambo yanayotuhusu sisi wenyewe kutofundiswa darasani.

Leo ningependa kuelezea bahadhi ya vitu vilivyogunduliwa au kubuniwa na watu weusi lakini sijui ni kwa bahati mbaya au ni makusudi vitu hivi avifundishwi darasani.

1. Taa zinazotumika kuogozea magari barabarani, maarufu kama traffic light taa hizi zilibuniwa na mmarekani mweusi Garrett Augstus Morgan mwaka 1923

2.mfumo wa kiulinzi majumbani maarufu kama home security system pia aliyebuni mfumo huu ni mtu mweusi anaitwa Marie Brown 1966 huyu alikua ni mwanamke lakini pia alikua nesi

3. Saa ya kwanza kutumika pia ilibuniwa na mtu mweusi anaitwa Benjamin mwaka 1752

4. Mashine ya kukatia majani maarufu kama lawn mower ilibuniwa na mtu mweusi ambeye anaitwa John Albert Burr mwaka 1899

Najua kuna vitu vingi sana vimebuniwa na watu weusi ambavyo tumekua hatufundishwi darasani leo nimekuja na hivyo vitu vinne, kama kuna mdau anajua vitu vingine anaweza kuongezea.
Ahahhaa..Mkuu umeandika uzi wako vizuri, ghafla umeshavutwa hukuuuu...ahahha
 
mi mwenyewe nashangaa🙄🙄 ila na naona kichwa cha habari kimeingiliana na uzi uliowai kutolewa humu
Ndiyo kilichofanyika...wakati nasoma uzi wako ulivyopost tuu, kuna notification nilipata, wakati narudi nimalizie kusoma uzi wako...umevutwa humu.

Pole.
 
Kwanza kabisa ningependa kuwapa salamu zangu wadau wote wa jukwaa hili maridhawa, lakini pia kama mtanzania ninayeipenda nchi yangu ningependa kutoa pole kwa wale wote waliokumbwa na janga hili la covid 19 maarufu kama corona, na pia nipende tu kuwakumbusha watanzania wenzangu tuchukue tahadhari zote kwa kufuata ushauri tunaoambiwa na wataalamu ili kupunguza maambukizi au kuhutokomeza kabisa ugonjwa huu.

Naomba nijikite katika mada ambayo imenifanya niandike uzi huu, kutokana na ukweli usiopingika ya kua katika mifumo yetu ya elimu hususani kwetu sisi watu weusi kumekua na mambo mengi ambayo atufundishwi darasani na hii inatokana na ukweli kua mfumo mzima wa elimu yetu bado una elementi nyingi za kikoloni, hivyo kupelekea bahadhi ya mambo yanayotuhusu sisi wenyewe kutofundiswa darasani.

Leo ningependa kuelezea bahadhi ya vitu vilivyogunduliwa au kubuniwa na watu weusi lakini sijui ni kwa bahati mbaya au ni makusudi vitu hivi avifundishwi darasani.

1. Taa zinazotumika kuogozea magari barabarani, maarufu kama traffic light taa hizi zilibuniwa na mmarekani mweusi Garrett Augstus Morgan mwaka 1923

2.mfumo wa kiulinzi majumbani maarufu kama home security system pia aliyebuni mfumo huu ni mtu mweusi anaitwa Marie Brown 1966 huyu alikua ni mwanamke lakini pia alikua nesi

3. Saa ya kwanza kutumika pia ilibuniwa na mtu mweusi anaitwa Benjamin mwaka 1752

4. Mashine ya kukatia majani maarufu kama lawn mower ilibuniwa na mtu mweusi ambeye anaitwa John Albert Burr mwaka 1899

Najua kuna vitu vingi sana vimebuniwa na watu weusi ambavyo tumekua hatufundishwi darasani leo nimekuja na hivyo vitu vinne, kama kuna mdau anajua vitu vingine anaweza kuongezea.

Hahaha hata ufagio mrefu ulibuniwa na mama mmoja mtumwa huko America baada ya kuchoka kupinda mgongo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Je wajua? Karanga zinaua watu wengi duniani kuliko bangi

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Je wajua kuwa:

Hakuna eneo lililowahi kuitwa NAZALETI katika dunia ya uhlisia tofauti na kwenye Biblia??

Hi ni kutoka kwa mtunza maktaba mkuu wa VATICAN
 
Je wajua? Majina mengi ya contact ulizosave kwenye simu yako yanaanzia na M, achana na fake names, nazumgumzia real names.

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Back
Top Bottom