😀😀😀🙆Huko texas mwanaume mmoja alibakwa na kundi la wanawake kipindi akiwa anafanya mazoezi ya kukimbia! Baada ya wiki moja wanaume karibia 100 nao wakaanza kufanya mazoezi ya kukimbia eneo lile lile
😀😀😀 kwa hali hi mkojo wa mwanaume unaezapimwa akaonekn anamimbaWrite your reply...Huko Cambodia kuku,bata,pera na viroboto baada ya vipimo maabara ya taifa vilibainika kuwa na virusi vya Ukimwi yaani HIV
Unaweza kunisaidia link nzuri yenye hii habari kwa undani? Inavutia.Je wajua! Nchini Kazakhstan kuna kijiji kinaitwa kalachi, kilikubwa na ugonjwa wa ajabu wa kulala, watu walikuwa wanalala takribani siku tatu na wakiamka wanapoteza kumbukumbu.
Nashikilia hapa kwanza 😂😂Huko texas mwanaume mmoja alibakwa na kundi la wanawake kipindi akiwa anafanya mazoezi ya kukimbia! Baada ya wiki moja wanaume karibia 100 nao wakaanza kufanya mazoezi ya kukimbia eneo lile lile
Mkuu😀😀😀 kwa hali hi mkojo wa mwanaume unaezapimwa akaonekn anamimba
Nimehakikisha kabisa.The sentence "the quick brown fox jumps over the lazy dog" uses every letter in the English alphabet.
Kubakwa ni bahati ?Nashikilia hapa kwanza 😂😂
Hao jamaa 100 walikuwa hawajui usemi usemao bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi..
Sasa hizo ndo kenge😂😅
ndiyo mkuuKabisa
Mkuu
Kwetu sisi wanaume kubakwa na mwanamke ni bahati ndio ila nyinyi tu ndio huwa mnaviherehere ukibakwa unaenda polisi!!Kubakwa ni bahati ?
Kenzy🙆hiyo bahati umewahi ipataKwetu sisi wanaume kubakwa na mwanamke ni bahati ndio ila nyinyi tu ndio huwa mnaviherehere ukibakwa unaenda polisi!!
We hao mia kama sio bahati unafikiri wamefata nini baada ya hiyo taarifa..?
Hujui Simba huwinda kwenye mawindo 😜😅
😳😳Kenzy🙆hiyo bahati umewahi ipata