Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Inajulikana kwamba paka hata ukimrusha vp,kamwe hataangukia mgongo.Lakini ukimchukua paka huyo huyo,ukampaka asali vidoleni,mwache aionje kidogo halafu mrushe juu uone.Paka akiwa na asali vidoleni ni lazima atatua kwa mgongo au kiubavu,hayuko tayari hata siku moja kuchafua asali vidoleni,you just go and try this at home.