Ndoa za utotoni ni mojawapo ya sababu zinazopelekea wasichana kukosa haki ya huduma za Afya ya uzazi. Unajua kwanini?
Ni kwa sababu wasichana wanakua hawana haki ya kufanya maamuzi juu ya miili yao wenyewe na badala yake wanaume watakaowaoa ndiyo wanakua na maamuzi hayo.
Je, tunafanyaje kukomesha ndoa za utotoni?
Ni kwa sababu wasichana wanakua hawana haki ya kufanya maamuzi juu ya miili yao wenyewe na badala yake wanaume watakaowaoa ndiyo wanakua na maamuzi hayo.
Je, tunafanyaje kukomesha ndoa za utotoni?