Je wajua? kama Whatsapp yako ina Chat GPT??

Je wajua? kama Whatsapp yako ina Chat GPT??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,902
Reaction score
9,323
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nikwamba kama unatumia smartphone basi utakuwa na Watsapp application katika hiyo simu yako, basi na katika hiyo whatsapp ytako kuna akili mnemba (AI) iliyotengenezwa na Chat GPT ili iwe rahisi kwako kuuliza vitu na kujibiwa! Je unaipataje ni Rahisi sana Chukua hii No+1 (800) 242-8478 i save katika phone book yako kama Chat GPT,baada ya hapo nenda whatsapp itafute kama Chat GPT utaikuta uliza chochote kwa lugha yoyote na utajibiwa Asante!
 
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nikwamba kama unatumia smartphone basi utakuwa na Watsapp application katika hiyo simu yako, basi na katika hiyo whatsapp ytako kuna akili msimbo (AI) iliyotengenezwa na Chat GPT ili iwe rahisi kwako kuuliza vitu na kujibiwa! Je unaipataje ni Rahisi sana Chukua hii No+1 (800) 242-8478 i save katika phone book yako kama Chat GPT nenda whatsapp kama itafute utaikuta uliza chochote kwa lugha yoyote na utajibiwa Asante!
Although uko late, walitangaza hii kitu december 19 mwaka jana, but watu wengi hawakutia attention
 
Back
Top Bottom