britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
FIFA IMETENGA BILLION 900 TU ZA KITANZANIA KWA AJILI YA KOMBE LA DUNIA URUSI
inamaana hii ambayo C.A.G alibaini upotevu wake ingetosha kwa kumbe la dunia na kubaki BILLION 600
Kwa kifupi gharama ya kombe la dunia la mwaka 2014+2018 ni ndogo ukilinganisha na Ile 1.5 ambayo haizungumziwi ,
Tuwe makini msidhani namtuhumu mtu kupoteza hiyo, mimi naongelea takwimu tu,
Piga kazi mzee Baba Magufuli
inamaana hii ambayo C.A.G alibaini upotevu wake ingetosha kwa kumbe la dunia na kubaki BILLION 600
Kwa kifupi gharama ya kombe la dunia la mwaka 2014+2018 ni ndogo ukilinganisha na Ile 1.5 ambayo haizungumziwi ,
Tuwe makini msidhani namtuhumu mtu kupoteza hiyo, mimi naongelea takwimu tu,
Piga kazi mzee Baba Magufuli