Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

Hizbu Sharifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2021
Posts
465
Reaction score
943
JE WAIJUA NGUVU YA MVUA
♦️Unajua mvua ni BARAKA ?
♦️Mvua haishukii ardhi pekee bali inashuka na kwenye nafsi pia
♦️Mvua husafisha husda
♦️Unajua kua mvua inaweza kusikia?
♦️Unajua mvua hubeba dua zako? Omba kwa sanna ukiwa ndani ya mvua
♦️Mvua husafisha huzuni zako.
♦️Mvua huosha kile ambacho hakionekani kwa macho.

SIKIA Inaponyesha mvua kaa ikunyeshee hata kwa dakika mbili usiikinbie, MVUA ni dawa kubwa sana ya mambo mengi
 
JE WAIJUA NGUVU YA MVUA
♦️Unajua mvua ni BARAKA ?
♦️Mvua haishukii ardhi pekee bali inashuka na kwenye nafsi pia
♦️Mvua husafisha husda
♦️Unajua kua mvua inaweza kusikia?
♦️Unajua mvua hubeba dua zako? Omba kwa sanna ukiwa ndani ya mvua
♦️Mvua husafisha huzuni zako.
♦️Mvua huosha kile ambacho hakionekani kwa macho.

SIKIA Inaponyesha mvua kaa ikunyeshee hata kwa dakika mbili usiikinbie, MVUA ni dawa kubwa sana ya mambo mengi
Aisifiae mvua imemnyea.
Maneno ya wahenga hayo.
 
JE WAIJUA NGUVU YA MVUA
♦️Unajua mvua ni BARAKA ?
♦️Mvua haishukii ardhi pekee bali inashuka na kwenye nafsi pia
♦️Mvua husafisha husda
♦️Unajua kua mvua inaweza kusikia?
♦️Unajua mvua hubeba dua zako? Omba kwa sanna ukiwa ndani ya mvua
♦️Mvua husafisha huzuni zako.
♦️Mvua huosha kile ambacho hakionekani kwa macho.

SIKIA Inaponyesha mvua kaa ikunyeshee hata kwa dakika mbili usiikinbie, MVUA ni dawa kubwa sana ya mambo mengi
Mimi na mvua ni ndugu. Ile mvua ya saa kumi yote imeishia mwilini mwangu. Alfajiri yote Ile nikimshukuru muumba kwa kujibu maombi yangu yote
 
JE WAIJUA NGUVU YA MVUA
♦️Unajua mvua ni BARAKA ?
♦️Mvua haishukii ardhi pekee bali inashuka na kwenye nafsi pia
♦️Mvua husafisha husda
♦️Unajua kua mvua inaweza kusikia?
♦️Unajua mvua hubeba dua zako? Omba kwa sanna ukiwa ndani ya mvua
♦️Mvua husafisha huzuni zako.
♦️Mvua huosha kile ambacho hakionekani kwa macho.

SIKIA Inaponyesha mvua kaa ikunyeshee hata kwa dakika mbili usiikinbie, MVUA ni dawa kubwa sana ya mambo mengi
Kwahiyo ile topic kwenye Geography Form 2 ya Rain Formation ilikuwa ni chai sio?
 
Toa uthibitisho bila kujali chochote hivyo ndio vigezo vya kutoa kitu kwa uhakika.
Sawa' Mmungu kwenye quran anasena "
Qur'an:
“Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na mabadiliko ya usiku na mchana, zipo ishara kwa wenye akili.”
— [Qur’an 3:190]
👆Mwisho anamalizia kwa wenye akili hivyo napata wasi wasi kua kama kweli wewe unaakili sawa sawa kutoziona ishara za kuwelo kwa mungu
 
Sawa' Mmungu kwenye quran anasena "
Qur'an:
“Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na mabadiliko ya usiku na mchana, zipo ishara kwa wenye akili.”
— [Qur’an 3:190]
👆Mwisho anamalizia kwa wenye akili hivyo napata wasi wasi kua kama kweli wewe unaakili sawa sawa kutoziona ishara za kuwelo kwa mungu
Safi sana hili halihitaji logic kuelewa , hivyo basi nakuunga mkono wewe uamini tu hivyo.
 
Back
Top Bottom