Je, wafanyakazi kucheka baada ya Hekaya za miaka 7??

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,729
5,923
Kama tujuavyo enzi za Simba wa Yuda nyongeza ya mishahara, kupanda madaraja na marupu rupu mengine ya wafanyakazi yalisimama,
Na hata mshahara huu wanaopata watumishi ni ule alioacha Jakaya Mrisho Kikwete..

Kumekua na Hekaya nyingi na ahadi nyingi!
Lakini kwa ujasiri MAMA katika mei Mosi ya mwaka 2021 aliahidi kuwa Mei mosi hii 2022 Kuna "PEKEJI" nzuri kwa wafanyakazi !!
Pamoja na Mambo ya vita n.k lakini Kuna dalili njema!!
Na safari hii naona wafanyakazi wakitoka uwanjani wakikenua!!
 

Attachments

  • VID-20220429-WA0008.mp4
    221.1 KB
Sipendi waongezewe sababu watatusumbua sana ila kumbe awamu ya 5 hawakupata nyongeza yoyote!

Aisee, hatari sana.

Manunguniko ya wengi ni laana, ndio maana tunasema tenda wema uende zako.

Kikwete alitenda wema kwenye awamu yake ya 4.
 
Yep! Kama bajet inaruhusu, wafanyakazi inabidi wapewe annual increment ya 3.5% ya mshahara, ili ku compensate purchasing power inayopotea kutokana na inflation.
That means, mfanyakazi anayelipwa milioni moja Gross anatakiwa aongezewe Tsh 35,000/-
 
Wacha kujipangia utakuja kufa kwa presha ukiongezewa buku mbili
Yep! Kama bajet inaruhusu, wafanyakazi inabidi waongezewe annual increment ya 3.5% ya mshahara, ili kuwa compensate purchasing power inayopotea kutokana na inflation.
That means, mfanyakazi anayelipwa milioni moja Gross anatakiwa aongezewe Tsh 35,000/-
 
Wacha kujipangia utakuja kufa kwa presha ukiongezewa buku mbili
No! Tunatumia Desicion Support System (DSS) katika kutoa maamuzi!
Kwa hiyo ili kujua increment inatakiwa iwe kiasi gani, tunaangalia mambo mawili.
1. Je, hali ya uchumi inaruhusu ongezeko?
2. Je, data za NBS kuhusu mfumuko wa bei wa mwaka zinasemaje?
 
No! Tunatumia Desicion Support System (DSS) katika kutoa maamuzi!
Kwa hiyo ili kujua increment inatakiwa iwe kiasi gani, tunaangalia mambo mawili.
1. Je, hali ya uchumi inaruhusu ongezeko?
2. Je, data za NBS kuhusu mfumuko wa bei wa mwaka zinasemaje?

Kwa mfumuko huu wa Bei Rais asipo ongeza mishahara wafanyakazi wa serikalini watapata taabu Sana.
 
Kwa nn hizi mada zinaanzishwa na walimu tu? Ila nyie walimu ni watu wa hivyo sana
 
Back
Top Bottom