Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Naomba tujadili hii, ni kweli kuwa Watanzania tulikuwa tunautaka Utawala wa Namna ya Magufu?
Ni dhahiri huyu Mh. angependa katka Dunia hii abaki na wale wanao muunga mkono tu kila anayempinga amtoweshe. Je, ndicho tulikihitaji kutoka kwako?
Push up zote zile kumbe alikuwa anafanya ili atimize Matakwa yake ya hivi kutufanya wote tukose amani ndani ya Nchi yetu huru? Kuna faida gani ya Kusema Unawapenda Wananchi na huku Vitendo havishabihiani na yele Maneno yako!
Mh, nakuhakikishia Watanzania Walio wengi kama Siyo Wote wana hasira Vifuani mwao dakika yoyote wanaweza kupasuka. Hao wengine umaowatumikisha (Mwondoe Bashite) wote wanakwenda tu kwavile hakuna namna!
Nasikiti maisha yako baada ya Utawala huu! Sikutegemea kabisa kama ungekuwa wa hivi japo ni wengi wanaumia pia!
Ni dhahiri huyu Mh. angependa katka Dunia hii abaki na wale wanao muunga mkono tu kila anayempinga amtoweshe. Je, ndicho tulikihitaji kutoka kwako?
Push up zote zile kumbe alikuwa anafanya ili atimize Matakwa yake ya hivi kutufanya wote tukose amani ndani ya Nchi yetu huru? Kuna faida gani ya Kusema Unawapenda Wananchi na huku Vitendo havishabihiani na yele Maneno yako!
Mh, nakuhakikishia Watanzania Walio wengi kama Siyo Wote wana hasira Vifuani mwao dakika yoyote wanaweza kupasuka. Hao wengine umaowatumikisha (Mwondoe Bashite) wote wanakwenda tu kwavile hakuna namna!
Nasikiti maisha yako baada ya Utawala huu! Sikutegemea kabisa kama ungekuwa wa hivi japo ni wengi wanaumia pia!